Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukamuacha miye vifuu, mawe, kokoto michanga yoote zingekuwa silahaAmepiga chata ikulu ya Tanzania
Ngoja apambane na hali yake. Kwanza wanaija wanatudharau sana wabongo...
Niliwah pigwa makofi na dem wa kinaija kisa nimemwambia usinishonee weaving kama mnavyopenda kujishonea ninyi wanaija 🤣🤣🤣🤣🤣
Leo bora kiss Daniel amekamatwa nipozee machungu yangu
Siunaona hata wanavyompandisha gari wote kimya hata panda hapo kwa kinge hamna ni kuonesha kwa vidole tu 😄😄😄Wataongea nae lugha gani?maana wabongo wanasema polisi wote hawajui kizungu
mapromoter waangalie namna ya kuwalipa baada ya showWasanii dawa Yao ndio hio. Huwa mda mwingine wanazingua sana. Afu ukisha Fanya booking, iwapo atakuja ni mida ya saa saba au nane usiku, na anapiga show kwa dakika 40 tu. Huku ulishafanya malipo yote. Yaani .
Alisahau juju lake ndo maana au ndugu mganga alimuambia asipafomuNdio tabia yake,yuko na pride sana..Sasa alizania hapa Tanzania ni kama huko kwao..Jana kwenye iyo shoo yake watu wamefanya vurugu na uharibifu mkubwa je atalipa hizo gharama sababu anadai eti nguo zimechelewa kufika na akakataa kupewa nguo mpya sasa si ufala huo,au hizo nguo zilikua na JUJU.Maana hawa ma Yahoo Boys kwa uchawi mhhh
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]unapooza machunguuAmepiga chata ikulu ya Tanzania
Ngoja apambane na hali yake. Kwanza wanaija wanatudharau sana wabongo...
Niliwah pigwa makofi na dem wa kinaija kisa nimemwambia usinishonee weaving kama mnavyopenda kujishonea ninyi wanaija [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo bora kiss Daniel amekamatwa nipozee machungu yangu
Nguo gani hasa za maana wanavaa huko Nigeria ambazo bongo hazipo..?? Falaa tu huyu jamaaa alijikutaa starwanaigeria wana mambo mengi pengine aliona nguo alizoletewa na wabongo zina mauzauza akagoma
Kwani siyo kweli kwamba jamaa ni star, na kama siyo star je shobo zenu zilikuwa ni za nini kwenda kumtafuta na kumpa ela hiĺi aje kuwatumbuiza nyie mastar mbona?Nguo gani hasa za maana wanavaa huko Nigeria ambazo bongo hazipo..?? Falaa tu huyu jamaaa alijikutaa star
If he is not a star, then why you hire him.Nguo gani hasa za maana wanavaa huko Nigeria ambazo bongo hazipo..?? Falaa tu huyu jamaaa alijikutaa star
Mapromoter nao huwa wanasepa na mpunga.mapromoter waangalie namna ya kuwalipa baada ya show
Maana wanatanguliziwa pesa halaf mambo yanakuwa kama hv