raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kwahio ngoma droo 😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio ngoma droo 😃😃
Sababu ya msingi sana hii uliyoandika ila kwa upande mwingine haya majamaa ya West Africa huwa majanja sana, hayashindwi kutengeneza tukioUtamsukumaje ndani ikiwa ndege imechelewa kufika na bado aibiwe bag lake airport?
Huku ni kuichafua nchi na mnawajuwa Wanaijeria hawanaga dogo
Washenzi sana na majambazi wa kutumia udhaifu mdogoSababu ya msingi sana hii uliyoandika ila kwa upande mwingine haya majamaa ya West Africa huwa majanja sana, hayashindwi kutengeneza tukio
Ukamuacha miye vifuu, mawe, kokoto michanga yoote zingekuwa silaha
🤣🤣🤣🤣[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]unapooza machunguu
Duuh pesa ndefu sana ingerudi kwa viingilio tu vya getini au kuna mapato mengine nje ya hapoNoona Harmonize kamdhamini na promota aliye andaa show ni Mnaijeria mwenzake anadai ametumia dollars 300,000 kuandaa show anataka afidiwe hela yake kazi ipo.
Naona show vingilia vilikuwa bei ya ghali,according to promoter mwenyewe anadai kulikuwa na meza za dollar 5000 na 10000.Duuh pesa ndefu sana ingerudi kwa viingilio tu vya getini au kuna mapato mengine nje ya hapo
Ooooh hapo sawa 👍👍👍 watu wanalamba asali meza 20mil 😀😀Naona show vingilia vilikuwa bei ya ghali,according to promoter mwenyewe anadai kulikuwa na meza za dollar 5000 na 10000.
Usitake kuwashoboke Wakenyala wangekua n wakenya asingeleta hii dharau
Duh huyo promota nae hapo hapo anataka kupiga.Noona Harmonize kamdhamini na promota aliye andaa show ni Mnaijeria mwenzake anadai ametumia dollars 300,000 kuandaa show anataka afidiwe hela yake kazi ipo.