Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana yake kwani kazingua mwenyewe.Duh huyo promota nae hapo hapo anataka kupiga.
Dola laki 3 show gani matako yakuku hizo
Wanapata sana sponsorship hasa makampuni ya vinywaji vikali kama Hennessy, JD etcDuuh pesa ndefu sana ingerudi kwa viingilio tu vya getini au kuna mapato mengine nje ya hapo
Hujasema bado sema tenaUsitake kuwashoboke Wakenya
Harmonize alikataa kupanda jukwaani Kenya na akapeta vile vile...
Nipo Chaliloo, Dah kitambo sana manWe chalii upo?
wataelewana naye,si umeona hapo kwenye gari kaonyeshwa tu kapanda😂😂Wataongea nae lugha gani?maana wabongo wanasema polisi wote hawajui kizungu
Yap halaf ndio ulikua mda wa yeye kuja juu tena na kujenga jina anazingua kama hv anyways lakn kila mtu na maisha yake 🙂Halafu huyu kizz nadhani ana matatizo
Label yake ya mwanzo walizinguana wakampokonya kila kitu mpaka jina
That's why anajiita kizz Daniel from kiss Daniel
FakeKwani nguo alizikataa zilikuwa na shida gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamuadabishe tapeli kama Wanigeria wengine tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amepiga chata ikulu ya Tanzania
Ngoja apambane na hali yake. Kwanza wanaija wanatudharau sana wabongo...
Niliwah pigwa makofi na dem wa kinaija kisa nimemwambia usinishonee weaving kama mnavyopenda kujishonea ninyi wanaija [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo bora kiss Daniel amekamatwa nipozee machungu yangu
We cheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani labda alijua ngoma yake inaoendwa sana ndio maana akaleta ego.huu ndio ulikuwa muda wake kurudisha kilichopotea.Yap halaf ndio ulikua mda wa yeye kuja juu tena na kujenga jina anazingua kama hv anyways lakn kila mtu na maisha yake 🙂