Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 66
kafulila anaongea tusamehe yaliyopita, akimaanisha rafu za uchaguzi labda.
Kafulila anasema umuhimu wa katiba mpya ni kwasbb ii iliyopo imeweka mfumo mbovu....anacrsha hoja ile ya msekwa ya kutokuwa na umuhimu wa katiba mpya........anasema tuwe na katiba ambayo hata kama tutapata rais bomu basi mfumo uwabane
Kafulila anasema umuhimu wa katiba mpya ni kwasbb ii iliyopo imeweka mfumo mbovu....anacrsha hoja ile ya msekwa ya kutokuwa na umuhimu wa katiba mpya........anasema tuwe na katiba ambayo hata kama tutapata rais bomu basi mfumo uwabane