Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

hamas walienda pale na magari na pikipiki, hawakwenda kwa mguu. maiti zilizoshikiliwa sio za mtanzania tu hata za israel zipo kadhaa, na wanafanya hivyo ili kuwatesa kisaikolojia wayahudi.
Katika taarifa ya Israeli na hamas hakuna taarifa ya maiti zilizotekwa mkuu. Kama ipo iweke hapa.
 
Tuanzie hapa kwanza, kwenye orodha ya waliotekwa na Hamas, majina ya watanzania wawili yalikuaepo au hayakuaepo? Zingatia walioshikiliwa mateka sio walikua hawajulikani walipo.

Pili, taarifa ya kifo chake ilitolewa lini na nani aliitoa?
Haya maswali unatakiwa kuuliza serikali ya israeli mkuu siyo mimi. Mimi na wewe tunapokea taarifa kutoka israeli.
 
Mnakwepa sana kujibu maswali yangu hapo juu mkuu?
 
We kiazi tumia hata madarasa ya Google kuboresha rutuba ya ubongo wako. Huoni hiyo ni photoshopped photo? Ama kweli ujinga ni kansa kamili.
Dini imewafanya kuwa wajinga mnatetea hili taifa ambalo linaua watoto na kina Mama na mnasema hilo ni taifa la Mungu.Mungu hawezi kuwa katili kiasi hiki.alafu hiyo sio Photoshop.Mimi ni kristo lakini sipo brainwashed kama wewe.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Haya maswali unatakiwa kuuliza serikali ya israeli mkuu siyo mimi. Mimi na wewe tunapokea taarifa kutoka israeli.

Basi msingi wa maswali yako ni mbovu , inaondoa mtiririko na mantiki ya maswali yako hapo juu.
 
Waislamu Wa Tz Hawajafuhishwa Na Mauaji Ya Joshua Ila Wanaamin Kuwa Hzo Ni Propaganda Za Wayahudi Za Kuwavuta Waafrika Upande Wao Kwa Nn Hamas Wahifadh Huo Mwili Mpaka Sasa Waache Kuhifadhi Miili Ya Wayahud Maadui Zao,Fikiria.Unaingiza Masuala Ya Ushoga Kwenye Mgogoro Wa Palestina Unatetea Hao Elgbt Sishangai Hata Papa Aliwatetea
 
Exactly there you are. Haya ndio maswali ninayouliza kwa lugha rahisi sana
 
Hv hz nafasi za kwenda kusoma israel huwa mnaletewa kwenye makanisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…