Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #81
Kivipi?Basi msingi wa maswali yako ni mbovu , inaondoa mtiririko na mantiki ya maswali yako hapo juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Basi msingi wa maswali yako ni mbovu , inaondoa mtiririko na mantiki ya maswali yako hapo juu.
Taarifa ya kifo imetolewa na serikali ya israeli. Na clip ikasambazwa mitandaoni japo msemaji wa serikali ya israeli anasema walioisambaza ni Hamas hatuwezi kukataa maana mpaka sasa Hamas hawajaongea lolote kuhusu joshua. Mpaka sasa tunapokea maelezo ya upande mmoja tu. Maswali yangu hapo juu bado sijajibiwa mkuu.Unapoongelea mwili wa marehem inamaana mtu amefariki, mauti imehusika Hilo ni jambo la kwanza.
Sasa nimeuliza, nani aliitoa taarifa za kifo cha huyu jamaa?
Na taarifa ilitolewa lini?
Sasa hapo nimekwepa swali gani?
Hili swali lako gumu sana hakuna wakulijibu wanajifanya km hawalioni yaani hamas waache miili ya wa israel wakachukue mwili wa mchaga ambae kwao hamas hana faida yoyote maana israel raia wake ndio wanauchungu nae hata km maitiMkuu punguza mihemko. Jibu swali langu la msingi sana kama joshua aliuliwa na hamas tarehe 7.10.2023 miongoni mwa wale 1400 kwanini Hamas waamue kuuchukua mwili wa Joshua tu mateka kwenda nao Gaza? Je mwili bado upoq salama haujaoza?
Mwili haupo mikononi mwa Hamas.Msemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.
Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?
Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.
Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?
Tumia ubongo wako vizur wewe!! Huoni hiyo picha kama imetengenezwa?Aisee ndiye huyu dogo kumbe alikuwa askari, sasa Hamas hawana makosa, ile video niliona hata boxer alivaa ilikuwa ya kijeshi.
Asante mkuu . Watanzania tujifunze kufikiri na kuhoji tusiwe kama kokoro la kubeba kila takataka tunayoambiwa. Serikali ya Israel inawajibu wa kutoa maelezo ya kina juu ya kifo cha mtanzania mwenzetu.Hili swali lako gumu sana hakuna wakulijibu wanajifanya km hawalioni yaani hamas waache miili ya wa israel wakachukue mwili wa mchaga ambae kwao hamas hana faida yoyote maana israel raia wake ndio wanauchungu nae hata km maiti
Mwili haupo mikononi mwa Hamas.
Maana hajafa mikononi mwa Hamas alikufa kwa shambulio la ndege.
Jibu maswali yangu hapo juu. mimi sijaleta habari za picha hapa.Tumia ubongo wako vizur wewe!! Huoni hiyo picha kama imetengenezwa?
Umeuliza swali gani sijakujibu mkuu?Nasubiria majibu ya maswali yangu Kwa mleta Uzi tafadhali. Hata hivyo, nashukuru Kwa taarifa
Post #73Umeuliza swali gani sijakujibu mkuu?
Post #73Post #73
Amin mimi binafs hainiingii akilini, hawa jamaa wanatafuta kuhalalisha nia yao ya kuangamiza kizazi chote cha Wapalestina hasa Gaza.Wametuona mafala mkuu.kuanzia serikali mpaka wananchi.
Yaani hii ilikuwa biashara ya waziri wetu wa Kilimo na waziri wa mambo ya kimataifa ??
Yani we nyoko huyo kwa akili zako ni mtanzania? Israel kuna wayahudi wenye asili ya Ethiopia kibao. Hamjui mnakalia ujinga tu.
Mbona yule binti wa kijerumani walimuua, wakaondoka na mwili wake?Taarifa ya kifo imetolewa na serikali ya israeli. Na clip ikasambazwa mitandaoni japo msemaji wa serikali ya israeli anasema walioisambaza ni Hamas hatuwezi kukataa maana mpaka sasa Hamas hawajaongea lolote kuhusu joshua. Mpaka sasa tunapokea maelezo ya upande mmoja tu. Maswali yangu hapo juu bado sijajibiwa mkuu.
Anaweza kusomea kilimo na akapiga deiwaka ya jeshi vilevile.
Ni hizo,wengine wamerudi salama kabisaTena hiki kina onekanika ni kilimo cha mboga mboga [emoji3][emoji1787][emoji3]
Sitetei hilo taifa mm..hao waarabu na wayahudi ni vichomi wote. picha hiyo ni photoshop ndugu acha kukaza fuvu.Dini imewafanya kuwa wajinga mnatetea hili taifa ambalo linaua watoto na kina Mama na mnasema hilo ni taifa la Mungu.Mungu hawezi kuwa katili kiasi hiki.alafu hiyo sio Photoshop.Mimi ni kristo lakini sipo brainwashed kama wewe.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
bado hamkomi kufagilia uwezo wa kijasusi wa taifa hilo ??... Kama wanakiri hawajui mwili ulipo na wala hawawezi kuukomboa ifike mahala mkubali kwamba uwezo wao kijeshi na kijasusi una mipakaIsrael wanaitumia kijasusi. Japo kweli ksuwawa na hamas ila nyuma yake kuna siri kubwa.