Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

Sawa walienda kwa magari na wakauwa watu 1400 .swali ni kwanini wa uchukue mwili wa Joshua tu kuuteka kwenda nao Gaza? Kwanini hawakuchukua na miili ya wale wengine waliowaua?
Ndugu umeshajibiwa lakini hutaki kukubali ukweli.
Najaribu kukuweka sawa.

1. Sio watu wote 1400 waliuwawa siku moja. Mauaji yalikuwa ya mwendelezo kufikia hiyo idadi.

2. Sio mwili wa mtanzania pekee ndio inadaiwa kuwa mikononi mwa Hamas, mamia kadhaa ya miili inadaiwa kuwa mikononi mwa Hamas.

3. Watanzania wote wawili hawakuwa miongoni mwa watu waliotangazwa kuuawawa siku ya uvamizi, bali walitangazwa kuwa ni mateka waliokuwa mikononi mwa Hamas, ni baadaye sana ndio imekuja kufahamika kuwa, Hamas waliamua kuwaua hao mateka.

4. Israeli imetoa taarifa tu kuonyesha hao watanzania waliuwawa mikononi mwa Hamas na mpaka sasa mwili wa mtanzania mmoja bado haujaweza kupatikana, hivyo Hamas ndio wanawajibika kusema uko wapi.
 
bado hamkomi kufagilia uwezo wa kijasusi wa taifa hilo ??... Kama wanakiri hawajui mwili ulipo na wala hawawezi kuukomboa ifike mahala mkubali kwamba uwezo wao kijeshi na kijasusi una mipaka
Jifunze kufikiri kama mtu mwenye akili timamu hapa JF badala ya kuandika andika vitu bila kufikiri.

Sasa, uwezo wa Israel kipelelezi unawezaje kuupima na kuukosoa kwa tukio hilo katika mazingira hayo?
 
Nimeamini Tanzania kuna magaidi mengi sana, na mengi pia yapo humu jf. imagine watu wanaweka sura ya mtu mwingine kabisa na kusema ni sura ya Joshua Molel na Clement Mtenga waliouawa Israel, ili tu awasafishe Hamas waonekane walifanya sahihi kuwauwa. cha muhimu mmekubali hamas waliwauwa na sio israel, kilichobaki hangaikeni kutafuta picha ili kuwasafisha kwenye mitandao, ila kule israel wanakamatwa, wanaogeshwa na kupakwa mafuta, na kuvalishwa nguo mpya.
Sio magaidi ubongo wa watanzania umejaa mavi Tanzania ni failed state
 
Habari wana jukwaa la kimataifa. Hii ndio habari iliyotangazwa leo saa 2 usiku katika taarifa ya habari Azam. Msemaji wa serikali ya israeli ameutangazia umma wa watanzania kuwa mwili wa Joshua mollel aliyetekwa na kundi la Hamas tarehe 7.10.2023 huko Israeli ulichukuliwa mateka na kundi hilo na kwamba kwa sasa eti mwili huo upo Gaza mikononi mwa Hamas.

Nina maswali machache sana ya kuuliza kwasasa.

1. Hamas waliwazaje kuuteka mwili wa mtu ambaye tayari wameshamuua ndani ya israeli na kumpeleka Gaza huyu mtu ana umuhimu gani sana kwenye hii vita? Tuzingatie waliuliwa 1400 siku hiyo

2. Tunavyofahamu mpaka sasa Gaza hakuna umeme , hospitali zimebomolewa je Hamas watakua wameuweka wapi mwili wa ndugu yetu ikizingatiwa leo ni siku zaidi ya 70 tangu auwawe? Je mwili bado upo?

3.kwanini Hamas katika taarifa zao za mateka waliokufa wakishikiliwa hawajamtaja Joshua?

Jamani naomba ndugu zangu nauliza haya maswali kwa nia njema tu sijaleta vita.najua watanzania hatupendi kuulizwa maswali lakini tujitahidi kufikiria mambo kwa kina hasa tunapokuwa ni watu wa kupokea taarifa kutoka nje.

Karibuni kwa mjadala wa kistaarabu. Moderators na Maxence Melo mkuu naomba wasifute uzi wangu tujadili tu mbona sijavunja sheria yeyote?

Ahsante.
Wapo miezi 4 sasa Gaza. Kwanini wasiuchukue wakaupeleka tz?
 
Ndio umeandika nn
Yaani situation ikukutie uvae mpaka gwanda kweli
Sina uhakika tu na hio picha ila kama ndio yeye anastahili apewe pole kumbe alienda kuvaa gwanda
Sasa una conclude na humjui du Taifa lina kazi
 
Jifunze kufikiri kama mtu mwenye akili timamu hapa JF badala ya kuandika andika vitu bila kufikiri.

Sasa, uwezo wa Israel kipelelezi unawezaje kuupima na kuukosoa kwa tukio hilo katika mazingira hayo?
Hawajui mateka wala marehemu wao walipo, na hata wakibashiri walipo vyombo vyao vya ulinzi na usalama vinashindwa kuwakomboa. Wachambuzi wengi wa mambo wamekubaliana hii ni ishara ya mipaka ya uwezo wao kijeshi, kijasusi na kilojistiki.

Kila nchi, kila jeshi, kila chombo cha kiinteligensia duniani kina uwezo wenye mipaka, na hawa nao sio tofauti na wengine. Dhana ya Taifa Teule ni ya watu wanaofikiri kiimani zaidi.

Una watu na maiti zako ziko shimoni, hujui shimo gani na ukijua huwezi kuwachomoa, uwezo wako una mipaka.
 
Habari wana jukwaa la kimataifa. Hii ndio habari iliyotangazwa leo saa 2 usiku katika taarifa ya habari Azam. Msemaji wa serikali ya israeli ameutangazia umma wa watanzania kuwa mwili wa Joshua mollel aliyetekwa na kundi la Hamas tarehe 7.10.2023 huko Israeli ulichukuliwa mateka na kundi hilo na kwamba kwa sasa eti mwili huo upo Gaza mikononi mwa Hamas.

Nina maswali machache sana ya kuuliza kwasasa.

1. Hamas waliwazaje kuuteka mwili wa mtu ambaye tayari wameshamuua ndani ya israeli na kumpeleka Gaza huyu mtu ana umuhimu gani sana kwenye hii vita? Tuzingatie waliuliwa 1400 siku hiyo

2. Tunavyofahamu mpaka sasa Gaza hakuna umeme , hospitali zimebomolewa je Hamas watakua wameuweka wapi mwili wa ndugu yetu ikizingatiwa leo ni siku zaidi ya 70 tangu auwawe? Je mwili bado upo?

3.kwanini Hamas katika taarifa zao za mateka waliokufa wakishikiliwa hawajamtaja Joshua?

Jamani naomba ndugu zangu nauliza haya maswali kwa nia njema tu sijaleta vita.najua watanzania hatupendi kuulizwa maswali lakini tujitahidi kufikiria mambo kwa kina hasa tunapokuwa ni watu wa kupokea taarifa kutoka nje.

Karibuni kwa mjadala wa kistaarabu. Moderators na Maxence Melo mkuu naomba wasifute uzi wangu tujadili tu mbona sijavunja sheria yeyote?

Ahsante.
Mazayuni ni waongo, habari zinazovuja kutokea kwao wenyewe ni kuwa waliua watu wao wenyewe kwa kutumia helikopta na vifaru.

Mazayuni wao huwa hawaheleweshi kuzika maiti zao za kizayuni. Ukiwa mgeni unafukiwa tu bila heshima yoyote, hususan ukiwa mkristo ndiyo hupewi heshima yoypote wanakuona kafiri tu.

Bora hata maiti za Waislam wanawapa Waislam waliopo huko wazike au wawatayarishe kuzikwa Kiislam chini ya uangalizi wao.

Mazayuni usiwaamini hata wakikwambia nje mchana na ni jua kali basi toka nje uhakikishe.
 
Kwa hyo baada ya video ile ya kumpiga risasi wakambeba na kuondoka nae.
Mbona kama movie?
ni bora waseme mwili wale umepotea.ila kutuambia kuwa jamaa wanaushikilia mwili sio kweli.wale jamaa muda wa kubeba maiti hawana
Habari ndio haiyo sasa kwamba mwili wa Joshua upo Gaza. Je mpaka leo upo salama au tutasikia stori huko mpele? Stay tune..
 
Back
Top Bottom