Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

Jamaa ni waongo sana .naamini kabisa huyo mtanzania mwenzetu ametumiwa vibaya na jeshi la Israeli kueneza propaganda za kuwachafua Hamas.
 
Habari ndio haiyo sasa kwamba mwili wa Joshua upo Gaza. Je mpaka leo upo salama au tutasikia stori huko mpele? Stay tune..
Januari Makamba alipotangaza kuwa na wazazi wa marehemu wanapelekwa israel, wanaenda kufanya nini? Kupigwa stori?
 
Yoni ni edit hiyo na aliyeedit hata hawez kuedit vzr,minguo kikubwa kola ipo upande, kifua kinaonekana si chake,
 
Tamko la msemaji wa hamas limesemaje hilo ulilolirejea???
Kama ni lile liloletwa humu na mpiga propaganda wa kiyahudi na kizayuni kuhusu kuua watu weusi sijui nini basi umelishwa propaganda mfu na wewe ukazimeza
Ama ulete hilo tamko msemaji alisemaje tu mskilize nasie wengine
 
Hizi ni taarifa mpya kutoka kwako. Na since day one hakukua na taarifa za maiti zilizochukuliwa mateka siyo kutoka kwa IDF wala Hamas. Taarifa zilizotolewa ni idadi ya watu waliokufa..
 
Bibi hujawahi kuwa na akili nani. Analia lia asamegewe?
Nan kamchokoza mwenzake?
 
Mbona yule binti wa kijerumani walimuua, wakaondoka na mwili wake?
Yule binti alioneshwa siku ya kwanza ya tukio kati ya watu waliochukuliwa kwenye jeep ya jeshi la israeli na waliondoka nae akiwa hai alifariki akiwa mateka . Umeona video ya joshua?
 
Serikali yetu haiwezi kuihoji israeli wanaiogopa.
 
Mbona picha ni za watu wawili tofauti.... Nikiwaambia JF inazidi kuwa na members vilaza mnaanza kulalamika.
Those are two different people.
 
Aaah kama anaweza kupiga na deiwaka ya jeshi basi deiwaka yake itakua aliipiga siku mbaya deiwakani
 
Jamaa andhani kuwa labda hamas walimbeaba mgongoni kurudi nae gaza.
Siku ya tukio waliuliwa wengi tuu kwanini wauchukue mwili wa Joshua waende nao ? Joshua ana uspecial gani kwa hamas? Kumbuka hamas lengo la kuwachukua wayahudi ni ili wabadilishane na wafungwa wa kipalestina .
 
Jifunze kufikiri kama mtu mwenye akili timamu hapa JF badala ya kuandika andika vitu bila kufikiri.

Sasa, uwezo wa Israel kipelelezi unawezaje kuupima na kuukosoa kwa tukio hilo katika mazingira hayo?
Basi israhell wao ndio best kwenye ujasusi
Hapa je???
 

KULA CHUMA HICHO EWE KAFIRI
 

MLAANIWE KWANZA MAKAFIR WOTE NA USHOGA WENU
 
Dogo alikuw na bokxa ya jeshi either not
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…