Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
- Thread starter
-
- #161
dogo yule ni Brigadier General kama hujui alibebwa kutoka kwenye camp, we ka unakula papai kwa uji wa uwele.wale waliotolewa vitandani na chupi zao mpaka Leo washikiliwa na baadhi kuawa siyo innocent?
Ndio ukae kimya sasa usiseme tuliona madhara aliyopata Iran wakat unajua hawakuonyesha.Alokwambia bbc katoa picha nani nimekwambia wametoa hizo za satellite sio picha za kawaida ila wamesema madhara kidogo ama hawawezi kuthibitisha mbona hoja hizi hawakuzieka kwenye shambulio walio fanyiwa wazayuni na Iran
Waarabu wanapenda kuingilia mwanamke nyuma sio mwanaume.Hivi huo ushoga mnao usemea unajua watu wanao pendelea huo mchezo ni miarabu tena Ile yenye ya Kisaudia au we mpuuzi?
Heeeee!Sio kweli zilete
Acha ubishi mkuu bundle unalo Nenda katizame BBC walileta satellite images lakini wakasema Bado hazitoshelezi kuonesha shambulizi na madhara yake.Ndio ukae kimya sasa usiseme tuliona madhara aliyopata Iran wakat unajua hawakuonyesha.
Iran hawakuonyesha. Ila image za satellite za bbc.Acha ubishi mkuu bundle unalo Nenda katizame BBC walileta satellite images lakini wakasema Bado hazitoshelezi kuonesha shambulizi na madhara yake.
Waoneshe kwani wao ndio waliopiga au waliopigwa!?Iran hawakuonyesha. Ila image za satellite za bbc.
Unakumbuka mwanzo wa hoja yako lakinWaoneshe kwani wao ndio waliopiga au waliopigwa!?
Mbona hata Israel iliposhambuliwa ni Iran na BBC ndio walionesha!?
Kwani BBC wapate taarifa ya maeneo yaliyoharibika Israel kiuhakika na wasipate ya Iran!?
Nakumbuka ama wewe ndio huelewi nini tunajadili!?Unakumbuka mwanzo wa hoja yako lakin
Sasa umejibu nini hapo juuNakumbuka ama wewe ndio huelewi nini tunajadili!?
Kwahuu ujinga tu ulouandika hapa jamii f ishajua kati ya muulizwaji na muulizaji nani mpuuziHivi huo ushoga mnao usemea unajua watu wanao pendelea huo mchezo ni miarabu tena Ile yenye ya Kisaudia au we mpuuzi?
Hujaelewa maelezo nirudie?Sasa umejibu nini hapo juu
Anaongelea akiwa wapi?Ujumbe ndio huo, msemaji wa Hezbullah anasema Israel hawezi kushinda vita kwa ndege, au kuvunja majumba na kuwauwa watoto au wanawake. Vita huwezi shinda bila ground force, na hicho kitu Israel hana. Anasema watakumbuka ujumbe wa Nasurlah Israel yupo katika ndoto, jeshi lake ni dhaifu kuliko nyumba ya baibui
Anawambia Waisrael wajiandae kuna miji mingi karibuni mtabidi muondoke siku sio nyingi. Hivi kuna dharau kama hio, si bora tu Israel asema nimeshindwa vita nioneni huruma π
View: https://youtu.be/56N6uuguVNs?si=IaKMYzXPTlGh6bUN
Rudia post yako mwanzoHujaelewa maelezo nirudie?
Madhara tuliona kupitia maneno matupu ya Neta paka ila ukweli walishindwa kuoneshaNdio ukae kimya sasa usiseme tuliona madhara aliyopata Iran wakat unajua hawakuonyesha.
Sasa unauhakika gani kwamba yalikuwa maneno matupu ikiwa Iran hawaruhusuMadhara tuliona kupitia maneno matupu ya Neta paka ila ukweli walishindwa kuonesha
Embu niulize, hao ISIS waliokuwa wanachinja kila raia asiye na hatiaUislam unazuia kuwauwa innocent people, wanaogopa kubeba dhambi za hao unless kuwa hakuna budi. Hezbullah akitaka kuchakaza hayo majumba ya Tel Aviv atashindwa unadhani, wamefika mpaa chumbani kwa Sarah hahahaha π π
Naona umeruka kimangaUnakumbuka mwanzo wa hoja yako lakin
Embu jaribu kusoma kwa kumakinika.Rudia post yako mwanzo
Hawaruhusu nini kwani picha za satellite zinataka ruhusa ya Iran yaani kufyekwa utawala wa kizayuni mpaka sisi huku tuliona ila huko Iran ndio hata picha za mbali mbali hakuna kwanza raia wa Iran wenyewe hawakuona lolote propaganda zimefika mwisho hizi zama za uwazi yaaniSasa unauhakika gani kwamba yalikuwa maneno matupu ikiwa Iran hawaruhusu