Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Nimekupa like kubwa bro. Sasa ona akili ndogo za viongozi wa ccm wa leo inavyolirudisha jeshi letu sote kuwa jeshi lao. Jeshi linajua kuwa ni la Watanzania wote lakini viongozi wa ccm wanalibinafsisha kwenye chama, halafu mataahira yanakuja kutetea upuuzihuo humu!!!
 
Hatuiombei nchi yetu mabaya lkn hii ya kuchomoa wanajeshi na kuwapachika kwenye nyazifa za chama itakuja kuwarudi CCM. Kipindi hiki ni tofauti na enzi za chama kimoja. Kuwa mwajeshi hakumbadilishi mtu attitude yake. Wakati huu wa vyama vingi mtatengeneza gaps ndani ya mioyo yao badala ya umoja. Wanajeshi tuwatengezee mazingira ya wao kujifeel wanawalinda watanzania badala ya kujisikia wanawalinda wanaccm au wanaukawa.
 

Siasa na jeshi havitengani, na imeanza zamani toka enzi za Nyerere.Ngemela sio wa kwanza.
 
Waziri wa Ulinzi aliyeteuliwa na Trump juzii alimaaarufu km mbwa kichaa, ni mwanajeshi.
 
Nipandishie Jazba ukuta au Mtu ambaye sijui kuwa ni mwanamke au mwanaume. Pole sana kama fikra zako zinakupeleka huko.
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Hata tulia mlimzoa kwa Style hyo.Mmezoea kuwatumia.
 
Hapa ni ubabe tu.....Leo CCM wanashangilia lkn naamini sio siku nyingi tutaungana nao kulia....maana mtu aliyezoea ubabe ananogewa
 
Ukweli usiofichika huyujamaa nimwanajeshi coz August 14 /2016 alikua anazungumzi kuwa wanajeshi watapiga kura
 
Kwahiyo amemteua Kanali Lubinga kuwa msemaji wa ccm kama rais au mwenyekiti wa ccm?
 
Ukamuulize na kinana alifikaje ccm wkt alikuwa mwanajeshi

Ukamuulize Kikwete alifikaje ccm wakat alikuwa mjesh

Ukamuulize na Lowasa alifikaje ccm wakat alikuw mjesh
Kinana na Kikwete waliachana na jeshi enzi za mfumo wa chama kimoja yaani chama kushika hatamu(party supremacy),je huo ndo mfumo uliopo sasa au unajitoa ufahamu tu? Swali ni kwamba, je, Col. Lubinga alistaafu?
 
Unamaanisha kosa la Chadema limehalalisha Magufuli kumteua Lubinga?
 
Turudin kwenye historia kwanza ndio tuhoj hya jmn mi sion cha ajab apo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…