Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

mambo zingine inabid sheria au kanuni zivunjwe kidogo kwa maslahi ya taifa .... hakuna tatizo la msingi ni kufanya kazi tu
 
Una ushahidi gani kama hajafata katiba? Hizi nadharia hizi na hisia zenu za kufikirika fikirika ndio zinawatia matatizoni na kupoteza uhai wa chama chenu.
We naona hukusoma Maelezo ya mtoa mada na Bahati nzuri ametoa hata vifungu vya katiba vinavyokataza hiyo kitu.sasa kama wewe unasema amefwata katiba weka vifungu tuvione vinasemaje kuhusu majeshi
 
CCM CCM CCCM ... we break all the rules ... we make rules ..Maslahi ya Taifa Mbele .... na bado
 
Yuko sahihi,kwan alishastaafu na hata angekuwa bado rais ndio amili jeshi mkuu ana mamlaka
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.​

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.

----------
Mleta mada amekosea kunakili kifungu kidogo cha (3) na hivyo kupotosha maana nzima iliyokusudiwa na Katiba. "Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yoyote kujiunga na chama chochote cha siasa,' isipokuwa' tu atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii"
Ibara ya tano ya Katiba ibara ndogo za (1) na (2) zinataja watu wanaostahili kupiga kura katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wale wasiostahili ambamo wanajeshi wapo katika kundi la kwanza.
Ukiona uongozi wa nchi inayokusudiwa kuwa ya kidemokrasia ya vyama vingi wanafanya kana kwamba ni chama kimoja basi hao wamepotoka kwa ulevi wa madaraka, wala hakuna jingine.
 
amiri jeshi mkuu ni mwenyekiti wa chama cha siasa afu bado unakomalia vitu gan braza.... jifunze kumvesha mtu uhusika kutegemeana na majukumu kwa wakati uo... hata rais ni baba wa fulan... mume wa fulani na ni mnyonge kwa fulani..... ingawaje ni mkuu wa nchi:: anavaa uhusika tofauti kutegemeana na jukumu.. nyakat na mazingira
 
Wewe uliyeona ukweli au kujua jeshi la tanzania linachezewa umechukua hatua gani?

Ungeshirikisha ubongo wako na ungejua jibu la swali ulilouliza hapo kwa kufanya udadisi sidhani kama ungekuwa unapost huu utumbo humu ndani.
Ndiyo maana naandika humu ili wakiwa na uelewa walau kidogo uliobaki (maana wamelewa chakari mvinyo wa madaraka) basi walione jambo hili kwamba si adili kiutawala kutenda wanayotenda katika nchi ya kidemokrasia.
 
amiri jeshi mkuu ni mwenyekiti wa chama cha siasa afu bado unakomalia vitu gan braza.... jifunze kumvesha mtu uhusika kutegemeana na majukumu kwa wakati uo... hata rais ni baba wa fulan... mume wa fulani na ni mnyonge kwa fulani..... ingawaje ni mkuu wa nchi:: anavaa uhusika tofauti kutegemeana na jukumu.. nyakat na mazingira
Utakuwa umevurugwa wewe!!!
 
Acha uzumbukuku wewe. Kuwa Amiri Jeshi Mkuu hakumpi haki ya kufanya kinyume cha madili ya kitamaduni na misingi ya Kikatiba.
Wwe ndo hujui taratibu sasa nikueleze pamoja na ujinga wako!!ukiacha sheria na katiba na nini sijui;rais ana mamlaka ambayo amepewa kikatiba kufanya unayoyaona!tatizo watz wengi hatujui sheria na elimu imetupita kushoto!isome katiba,mamlaka ya rais halafu ndo uje unitolee povu lako;Ndo maana alimtoa chagonja akambadilisha jeshi na kumpeleka fire,alimtoa mlowola polisi akampeleka takukuru,na hao wote walikuwa wako kazn halaf bado unahoji anakiuka tartibu zipi??
 
nina harufu ya damu kutapakaa 2020 kwani kijani hawatakubali kushindwa, na zaidi itabidi njugu zisambazwe kwa raia wasio na hatia ili tu wabaki madarakani, tuandae makaburi, kwanza watapoteza pesa nyingi sana kuliko walizopoteza 2015, na watakuwa wako juu ya sheria, kama walinzi wetu nao wanaingizwa kwenye siasa, mark my words
utaingia street.mkuu kukipinga.......chama kile?thubutu
 
Mmmh mbona kila cku mambo yanazidi kuwa hovyohovyo tu na kule kwetu kwingine nako ni shida tu kuelekea uchaguz mkuu cjui niende wapi?
 
Ni hivi hakuna anayepuuzia masuala ya katiba. Hao walioona kuwa katiba imevunjwa mimi nimewauliza then what? Miaka yote kilio ni kile kile. Uzi ukishafika page ya 8 au 10 basi inaishia hapo. Kama mmeona ni kosa then nini kinafuatia. Au mkishapost humu watu wakawatukana hao CCM basi kifungu cha sheria kilichovunjwa kitanyooka.
Hii ni nchi ya kidemokrasia. Kwanza ni lazima tuonye kwa maandiko yetu. Kisha tuchukue hatua kwenye sanduku la kura. Jeshi la watanzania wasiotaka upuuzi huu unaofanywa linazidi kujijenga. Mfano mzuri ni uchaguzi uliopita ambao kwa hakika ccm ilibaki inisimama kwa mguu mmoja wa vyombo vya dola. Ndiyo maana inafanya haya.
Sasa nguvu ya maandiko yetu wapenda mabadiliko chanya ni lazima tuielekeze kwa hawa wanaovikwa vilemba vya ukoka.
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.​

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.

----------

- Lakini Lowassa alipoteuliwa kugombea Urais Chadema haikukushangaza imekushangaza huku? Duh!

le Mutuz Nation
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.​

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.

----------
Ya kaisari mpe kaisari
Ya Jeshi mpe jeshi
Ya ccm mpe ccm


Ukielewa hayo maneno hutohangaika tena na hiyo post yako
 
''...Nape alisema, wapili ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga, kuwa Katibu NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa...''

Hapa mimi sijaelewa mteule ni mwanajeshi cheo cha kanali inakuwaje apewe dhamana ya kukiongozana chama wakati tunajua hawa waajiriwa wa wananchi hawatakiwi wawe wanachama wa chama cha kisiasa

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
Ukamuulize na kinana alifikaje ccm wkt alikuwa mwanajeshi

Ukamuulize Kikwete alifikaje ccm wakat alikuwa mjesh

Ukamuulize na Lowasa alifikaje ccm wakat alikuw mjesh
 
Hii inaitwa Tanzania. Wageni wakikanyaga ardhi yetu wanatakiwa kulipia pao hapo maana ji utalii tosha kabisa. Ajabu la 8 la dunia[emoji85][emoji87][emoji85][emoji87][emoji85][emoji87]
 
Kama Kanali Lubinga ni mstaafu wa JWTZ sawa, LAKINI kama ni mtumishi bado then hapo kuna mushkel.
Awamu hii tofauti ni nyingine imeonekana wazi kuegemea upande wa majeshi kuliko uraiani. Kuna hotuba (nadhani alipoenda Magereza Ukonga) Rais Magufuli alisema wazi kuwa "anapendelea wanajeshi kwa vile ni watii..."

Busara na hekima kwenye uongozi ni tunu adimu. Tutaona thamani yake kadiri siku zinavyoendelea mbele.
 
Back
Top Bottom