Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Suala siyo kumshitaki, suala hapa ni uzumbukuku wako usiotaka kuuona ukweli. Jeshi la Wananchi wa Tanzania haliwezi kuchezewa kwa namna linavyoanza kuchezewa na viongozi muflisi wa Chama cha Mapinduzi. Ni lini askari huyu alistaafu na kuchukua kadi ya ccm?
Wewe uliyeona ukweli au kujua jeshi la tanzania linachezewa umechukua hatua gani?

Ungeshirikisha ubongo wako na ungejua jibu la swali ulilouliza hapo kwa kufanya udadisi sidhani kama ungekuwa unapost huu utumbo humu ndani.
 
Haina uhusiano, na kadri unavyolazimisha jambo hili katika mjadala huu unazidi tu kujifunua wewe ni mtu wa namna gani! Hoja iliyoko mbele ni muhimu hata kwa familia yako; kuna siku utaamini ukweli huu.
huyo jamaa sijui vipi,anaanzisha hoja tofauti,matumbo yatatuua jamani
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Huo ndio upumbavu wenyewe. Lowasa hakuwa mwanajeshi alikuwa mwanasiasa na raia. Kikatiba hakuwa na kizuizi kujiunga na Chama chochote na kupokelewa kisha kupata haki zote za uanachama. Mwanajeshi huyu Katiba haimruhusu kuingizwa kwenye siasa hadi atangaze wazi kujizulu kwake jeshini. Kuendesha nchi bila kufuata katiba na kuwaona watu wote ni majuha isipokuwa ninyi ni janga!!!!
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Mkuu

Lowassa hakuwa mgombea wa urais kwa ccm, alipigwa pang a mapema mno
 
Alishastaafu muda akawa anafanya kwa mkataba. Na mkataba unasitishwa muda wowote. Ikiwa Lowasa aliacha CCM leo na kesho yake akapewa kadi na kugombea uraisi hamuoni ni ajabu bali hili la mstaafu kupewa majukumu mengine povu linawatoka
Acha uwongo wa kijinga, alistafu lini! Unataka kutufanya kama hatumjui kanali huyu na jinsi alivyopita
 
Lowasa walipomchukua CHADEMA walimjua siku nyingi? Mbona aliingia tu na kupewa ugombea uraisi wakati hajawahi kuwa kiongozi wa tawi la chadema
Alipewa card mapema, tulishaisoma number yake mapema, kutokana na msimamo wake,tulijua ccm hapiti ila kwa wananchi anapita
 
shida iko wapi, si ataacha kazi ya jeshi!? Hawez fanya zote 2
 
Nimegundua si kosa lako, tatizo lako unataka kuonyesha wana JF kuwa unajua lakini hujui chochote. Acha tukukumbushe-wakati tukiwa na chama kimoja asilmia kubwa ya wafanya kazi wote na wafanyabiashara walikuwa wanachama wa ccm, majeshi yote walikuwa wanachama wa ccm na siasa ilifundishwa hadi majeshini, na ndo maana tokea nyakati hizo wanajeshi waliteuliwa katika nyadhifa mbalimbali mfano-Mh. Jakaya Kikwete, Mh.Kinana na wengine wengi-si ajabu hicho kinachofanyika
Kwahiyo katiba na ccm nani anamuongoza mwenzake mkuu? Na kulikuwa na haja gani kufanya marekebisho ya katiba kuzuia wanajeshi kuwa wanachama wa vyama vya siasa huku chama kimoja kikiwatumia kujipatia ushawishi?
 
Wewe uliyeona ukweli au kujua jeshi la tanzania linachezewa umechukua hatua gani?

Ungeshirikisha ubongo wako na ungejua jibu la swali ulilouliza hapo kwa kufanya udadisi sidhani kama ungekuwa unapost huu utumbo humu ndani.
Ndugu, ukweli ni kuwa tusijaribu kufukia vichwa vyetu kwenye mchanga tukidhani adui atapita. Kupuuzia mambo makuu ya kikatiba ambayo ndiyo roho ya demokrasia ya nchi ni sawa na kuitafutia nchi janga lisilotabirika.
 
Ndugu, ukweli ni kuwa tusijaribu kufukia vichwa vyetu kwenye mchanga tukidhani adui atapita. Kupuuzia mambo makuu ya kikatiba ambayo ndiyo roho ya demokrasia ya nchi ni sawa na kuitafutia nchi janga lisilotabirika.

Ni hivi hakuna anayepuuzia masuala ya katiba. Hao walioona kuwa katiba imevunjwa mimi nimewauliza then what? Miaka yote kilio ni kile kile. Uzi ukishafika page ya 8 au 10 basi inaishia hapo. Kama mmeona ni kosa then nini kinafuatia. Au mkishapost humu watu wakawatukana hao CCM basi kifungu cha sheria kilichovunjwa kitanyooka.
 
Kama alichukua kabla ya mkutano utamuonaje? Au ulitaka press conference iwepo wakati anachukua
Labda! Kumbe unabahatisha! Tukubali tu kuna kitu hakika sawa bila kwasababu yeye ni raisi basi ameamua kutofwata katiba
 
Labda! Kumbe unabahatisha! Tukubali tu kuna kitu hakika sawa bila kwasababu yeye ni raisi basi ameamua kutofwata katiba

Una ushahidi gani kama hajafata katiba? Hizi nadharia hizi na hisia zenu za kufikirika fikirika ndio zinawatia matatizoni na kupoteza uhai wa chama chenu.
 
Lowasa walipomchukua CHADEMA walimjua siku nyingi? Mbona aliingia tu na kupewa ugombea uraisi wakati hajawahi kuwa kiongozi wa tawi la chadema
Kwakuwa Lowasa alijiunga na chadema moja kwa zote na ndio imekuwa sawa kumchukua aliye juwa msemaji wa JWTZ kuwa mseamaji wa chama cha Lumumba?????????????
Shame on you !!!!!iiii!!!!!
 
Back
Top Bottom