Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndio mana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Laiti ningekuwa na uwezo,nijibadilishe niwe popo bawa,nimpitie huyu jamaa
 
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Mwambie huyo msemaji aache ujinga! Nchi ina miaka zaidi ya 60 tangu ipate uhuru! Halafu wanashindwa hata kununua vifaa vya kisasa vya uokoaji!!

Kila siku kuchezea tu kodi za wananchi kwa kununua magari ya kifahari, na kupuyanga nje ya nchi as if wana miguu ya kuku. Bora hata angefunga mdomo wake.
 
Huyu mtu aelewe watu walimaanisha helicopter kama tunazo za kufanyia mambo ya ajabu ajabu kwanni tukose hela yakuwa na vifaa vya uokoaji kwenyekila mkoa ? Kweli ajali imetokea bukoba mnaomba machine kutoka Geita tena kwa mwekezaji GGM umbali wa Zaidi ya KM 310 ?? Aibu Aibu tele
Hii nchi ina vilaza wengi sana. Mmojawapo ni huyo msemaji wa serikali. Elimu ya kuunga unga, uchawa na unafiki umempa cheo ambacho kiko juu ya uwezo wake.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Njia zipi? Kumtuma majaliwa kule Dodoma?
 
Just imagine,ziliweza kununuliwa washawasha kila mkoa,ili kuwadhibiti wapiga kura baada ya uchaguzi.
Lakini wanashindwa kununua vifaa vya uokozi,ilihari kuna bajeti ya majanga na uokoaji kila mwaka,haileweki hizo fedha zinaishia wapi.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Heheheh
Na wale wanachi waliovuta ndege kwa kamba ni sehemu ya mpango wa serikali.

Msemaji yupo vyedi🤣
 
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.

Picha za gari iliyopata ajali
 

Attachments

  • 30E95330-DF15-422B-819B-45AD08598869.jpeg
    30E95330-DF15-422B-819B-45AD08598869.jpeg
    47.4 KB · Views: 2
  • D4EB9114-D62F-43C9-995C-E7099B016BF8.jpeg
    D4EB9114-D62F-43C9-995C-E7099B016BF8.jpeg
    107.7 KB · Views: 1
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Ajali hiyo iliyotokea jana Jumatatu Novemba 7, 2022 jioni katika eneo la Pori namba moja Kata ya Partimbo wilayani Kiteto mkoani Manyara imehusisha gari la wagonjwa kugongana uso kwa uso na gari dogo.
Kiteto. Idadi ya vifo vilivyosababishwa na ajali ya gari iliyotokea eneo la Pori Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara imefika saba baada ya majeruhi mmoja kufariki akiwa katika Hospitali ya Dodoma.
 

Attachments

  • 9ED20C0F-92BF-4C8C-AD25-265B37089EAE.jpeg
    9ED20C0F-92BF-4C8C-AD25-265B37089EAE.jpeg
    40.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom