Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laiti ningekuwa na uwezo,nijibadilishe niwe popo bawa,nimpitie huyu jamaaMsemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndio mana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
Mwambie huyo msemaji aache ujinga! Nchi ina miaka zaidi ya 60 tangu ipate uhuru! Halafu wanashindwa hata kununua vifaa vya kisasa vya uokoaji!!Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
Hii nchi ina vilaza wengi sana. Mmojawapo ni huyo msemaji wa serikali. Elimu ya kuunga unga, uchawa na unafiki umempa cheo ambacho kiko juu ya uwezo wake.Huyu mtu aelewe watu walimaanisha helicopter kama tunazo za kufanyia mambo ya ajabu ajabu kwanni tukose hela yakuwa na vifaa vya uokoaji kwenyekila mkoa ? Kweli ajali imetokea bukoba mnaomba machine kutoka Geita tena kwa mwekezaji GGM umbali wa Zaidi ya KM 310 ?? Aibu Aibu tele
Njia zipi? Kumtuma majaliwa kule Dodoma?Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
HehehehMsemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
Unadhani kondomu hizo kwamba ziuzwe hovyo?Hivi Jeshi letu halina Chinook
Ingeweza kuvuta ili milango ya nyuma ifunguliwe.Unadhani kondomu hizo kwamba ziuzwe hovyo?
Hata chinook haiwezi lift tani 25
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
Bei yake hiyo kitu unaweza kukuta ni bajeti nzima ya wizara ya ulinzi.Hivi Jeshi letu halina Chinook?
View attachment 2410446
Ajali hiyo iliyotokea jana Jumatatu Novemba 7, 2022 jioni katika eneo la Pori namba moja Kata ya Partimbo wilayani Kiteto mkoani Manyara imehusisha gari la wagonjwa kugongana uso kwa uso na gari dogo.Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
ReasonIngeweza kuvuta ili milango ya nyuma ifunguliwe.
Boeing CH-47F ChinookBei yake hiyo kitu unaweza kukuta ni bajeti nzima ya wizara ya ulinzi.
Boeing CH-47F Chinook
Current Price $ 25.1 million to - $ 32 million U.S.
Tunaweza mbona