Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
tunamkumbusha pia kuwa wananchi sio kazi yao kuvuta ndege na wala mitumbwi sio kazi yake yake kubeba raia waliopata ajali.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Dah unaweza kudanganya ubongo kwamba jamaa hili ni jiniasi ila moyo ukamgomea ubongo, ameshindwa hata kusema helkopta zilikuwa mbali na eneo la tukio?? Stress tulizonazo watanzania vyanzo vyake ni vingi
 
Tangu alipofariki Magufuli huyu Msigwa ni kama amewehuka fulani hivi. Kichwa chake hakiko sawa
 
Na hii je?
Screenshot_20221108-200139_Twitter.jpg
 
Yuko Auditor mhanga wa ajali kaeleza vizuri jinsi mhudumu wa ndege alivyofungua mlango wa ndege khalafu abiria wakajiokoa wenyewe kutoka ndani ya ndege na baadaye kijiti cha uokozi kikapokelewa na wavuvi.
 
Wamegusia yote lakini wameacha kugusia kitu cha muhimu na cha kujifunza zaidi kutoka kwenye hii ajali na kinachothibitisha na kuexpose udhaifu wa serikali kiujumla. Kama mnajua kila helicopter inatengenezwa kwa matumizi maalum then kwanini tangu mwanzo msiwe na specialized helicopters kwa ajiri ya such emergencies? Mlikuwa wapi na Kwanini hamkujiandaa? Ina maana nchi nzima hakuna mtu hata mmoja anayejua kuhusu Aerial Cranes? Specialized Helicopter kwa ajili ya kunyanyua vitu vizito?. Kama nchi inaweza kunua Dreamliner 787 inayocost $200 million usd. Je mlishindwa kununua Aerial Crane moja isiyocosts zaidi ya $50 million usd ili kusaidia kwenye uokoaji?

Hii Helicopter inaweza kunyanyua mpaka Pounds 20,000. Kg 10,000.
skycrane 2.jpg
skycrane 3.jpg
skycrane4.jpg


Mnasema mnataka kupunguza madhara ya ajali lakini hapo hapo mnasema sio dhambi wananchi kuhatarisha maisha yao kufanya kitu ambacho hawana mafunzo nacho. Na mnasema kabisa mbinu zenu za uokoaji zitaendelea kushirikisha wananchi ambao ni untrained personnel for such specific dangerous and life threatening tasks.

Kama helicopters zilizopo zinaweza kusustain such weight and conditions basi zilikuwa more than efficient under such circumstance.
Life is more important than objects lakini Kama mnaweza kushirikisha untrained citizens na wao kuhatarisha maisha yao. Je kulikuwa na tofauti gani na kutumia unspecified helicopters kuperfom and aiding such an emergency?

Maisha ni muhimu kuliko chombo au kitu chochote kile na hii ni weak justification for such an irresponsible act.​
 
Pumbavu kabisa huyu jamaa.

Anaongea nini huyu pumba tupu.
 
Mjomba mita 100 ilishawahi kutokea China tena Panton hakutoka mtu na vifaa vya kila aina..mengine tumuachie mungu tuu
Serekali wakiweza wakae kimya kabisa. Wasianze kabisa kubishana na watu kuhusu hili, ni busara ukiumbuka kukaa kimya yapite.

Yaani majanga yanatokea mita 100 kutoka airport mnashindwa kuokoa? Sasa mnakuwaga na fire na vikosi vya uokoaji vya nini. Ingekuwa watanzania wamekufa kwa kishindo au moto uliojitokeza ingekuwa sawa lakini maji! tena maji yanayoingioa pole pole ndani ya ndege?

Serekali kaeni kimya msituzidishie machungu

Alafu eti anasema ndio maana serekali ilifanya kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara. Dah!
 
Kikwete alisafiri tukamsimanga Magufuli hakusafiri tukamsimanga Samia anasafiri tunamsimanga hizi siasa ndio alizisema Rostam Azizi kuwa za "Maji taka".
Kwani hao wote unawataja si wanatoka humo humo kwenye hilo dampo moja la wapigaji? Kumbuka tuko wengi tunaoamini Tanzania haitoboi kama genge hilo hilo litaendelea kung'ang'ania kubaki madarakani hata kama uwezo na sifa hawana. Huyo huyo Rostamu Azizi si aliyewahi kuitwa gamba la kuvuliwa, Magufuli alimkaribisha Ikulu na hivi sasa yuko wapi?
 
Kwani hao wote unawataja si wanatoka humo humo kwenye hilo dampo moja la wapigaji? Kumbuka tuko wengi tunaoamini Tanzania haitoboi kama genge hilo hilo litaendelea kung'ang'ania kubaki madarakani hata kama uwezo na sifa hawana. Huyo huyo Rostamu Azizi si aliyewahi kuitwa gamba la kuvuliwa, Magufuli alimkaribisha Ikulu na hivi sasa yuko wapi?
Mimi naimani hata leo NCCR wakitoa Raisi tutalalamika tu.
 
Back
Top Bottom