Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
😂😂😂 Wangetumia kila njia wale 19 wasingekufa wangekua hai hadi mda huu, asituletee habari zake hatutakina ndiyo maana walitumia kila njia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Wangetumia kila njia wale 19 wasingekufa wangekua hai hadi mda huu, asituletee habari zake hatutakina ndiyo maana walitumia kila njia
Magari ya maji ya kuwasha kila mkoa/wilaya. Haya ni mahsusi katika kuwashughulikia walipa kodi watakaothubutu kulikosoa hilo genge la walafi.Nchi ina miaka zaidi ya 60 tangu ipate uhuru! Halafu wanashindwa hata kununua vifaa vya kisasa vya uokoaji!!
V8 moja ni shilingi 600,000,000/= lakini hawa wezi wanahakikisha kila kiongozi wa CCM na serikali anazurura na V8...masikini kodi zetu.Kila siku kuchezea tu kodi za wananchi kwa kununua magari ya kifahari, na kupuyanga nje ya nchi as if wana miguu ya kuku.
Na kukagua Anuani za makazi na mito ilokaukaHelicopter zetuni za kusafiria.....
Wahuni km Wahuni wameshika Nchi, wanachojua ni kupiga tu km mnakufa nyie kufeni tu ila wao kupiga wataendelea kupigawahuni wamerudi serikalini
Na sio za kuwawahishia Divers wa uokozi.Helicopter zetuni za kusafiria.....
Serikali ingefanya kila njia wale 19 wasingefia pale. Kuna jitu lilikuwa linasema limewasiliana na Rubani wako salama Nonsense kabisa. Kukaa kimya ni busara.Serekali wakiweza wakae kimya kabisa. Wasianze kabisa kubishana na watu kuhusu hili, ni busara ukiumbuka kukaa kimya yapite.
Yaani majanga yanatokea mita 100 kutoka airport mnashindwa kuokoa? Sasa mnakuwaga na fire na vikosi vya uokoaji vya nini. Ingekuwa watanzania wamekufa kwa kishindo au moto uliojitokeza ingekuwa sawa lakini maji! tena maji yanayoingioa pole pole ndani ya ndege?
Serekali kaeni kimya msituzidishie machungu
Alafu eti anasema ndio maana serekali ilifanya kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara. Dah!
Hana jinsi mkuu lazima kujitoa ufahamu kwenye hii serikali CHOVU KABISA !!!!!Acha kujidhalilisha mkuu
😂😂😂😂Watu mmechokaMsemaji wa Serikali nilitarajia uwe kwenye hiyo ndege ila ulinusurika hukuipanda.
Mwenyewe mzee was maj Taka... Kuanzia Dowons,escow mpk Richmond...kila dili Ki Azizi Yumo anakuwaje MsafiKikwete alisafiri tukamsimanga Magufuli hakusafiri tukamsimanga Samia anasafiri tunamsimanga hizi siasa ndio alizisema Rostam Azizi kuwa za "Maji taka".
Athubutuuuu kupata hicho chuma jua Kuna wanaume wamefanya kazi ....huku kwetu hela ya mlipa Kodi kazi yake kubwa Ni kununua Vie8 tuHivi Jeshi letu halina Chinook?
View attachment 2410446
Kama sijakosea hizo Chinook ndio zilizomfuata Osama kule kule Pakistan usiku na kumuua halafu wakaondoka na mwili wake.Boeing CH-47F Chinook
Current Price $ 25.1 million to - $ 32 million U.S.
Tunaweza mbona
Kama sijakosea hizo Chinook ndio zilizomfuata Osama kule kule Pakistan usiku na kumuua halafu wakaondoka na mwili wake.
Ina uwezo wa kubeba Watu hamsini na tano na tani kumi za mzigo hutumiwa sana na specia forces.Kama sijakosea hizo Chinook ndio zilizomfuata Osama kule kule Pakistan usiku na kumuua halafu wakaondoka na mwili wake.
Walitumia kila njia ipi? yakuvuta ndenge kwa mikono wakitumia kamba, au na uyo Dogo zilikua juhudi zao Kama sio za watu binafsi.Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.
Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.
View attachment 2410311
Hivi Jeshi letu halina Chinook?
View attachment 2410446
Tulitakiwa tuwe nazo mbili au tatu kama Zimbabwe.Halina
Hata wangeajiriwa wazamia Pweza wa Pemba wanaweza sana Scuba diving bila mitungi.na mitungi mikubwa migongoni walikuwa wapi wakati wa ajali?