Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

peno hasegawa

Hii ni list ndefu kweli
Ongezea

Nov 7,2022 yupo Misri

Screenshot_20221108-171126.png
 
Nchi ina miaka zaidi ya 60 tangu ipate uhuru! Halafu wanashindwa hata kununua vifaa vya kisasa vya uokoaji!!
Magari ya maji ya kuwasha kila mkoa/wilaya. Haya ni mahsusi katika kuwashughulikia walipa kodi watakaothubutu kulikosoa hilo genge la walafi.
Kila siku kuchezea tu kodi za wananchi kwa kununua magari ya kifahari, na kupuyanga nje ya nchi as if wana miguu ya kuku.
V8 moja ni shilingi 600,000,000/= lakini hawa wezi wanahakikisha kila kiongozi wa CCM na serikali anazurura na V8...masikini kodi zetu.
 
Hivi Kuna mwanamchi alizungumzia helkopta kuhusika kuvuta ndege, zaidi watu waliona mitumbwi ingeweza kusababisha janga lingine kwa kuzidiwa na kuchukua mda mrefu, ndege ingefanya chapu yeye anasema kuvuta sijui mitumbwi ilivuta hiyo ndege
 
Serekali wakiweza wakae kimya kabisa. Wasianze kabisa kubishana na watu kuhusu hili, ni busara ukiumbuka kukaa kimya yapite.

Yaani majanga yanatokea mita 100 kutoka airport mnashindwa kuokoa? Sasa mnakuwaga na fire na vikosi vya uokoaji vya nini. Ingekuwa watanzania wamekufa kwa kishindo au moto uliojitokeza ingekuwa sawa lakini maji! tena maji yanayoingioa pole pole ndani ya ndege?

Serekali kaeni kimya msituzidishie machungu

Alafu eti anasema ndio maana serekali ilifanya kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara. Dah!
Serikali ingefanya kila njia wale 19 wasingefia pale. Kuna jitu lilikuwa linasema limewasiliana na Rubani wako salama Nonsense kabisa. Kukaa kimya ni busara.
 
Kikwete alisafiri tukamsimanga Magufuli hakusafiri tukamsimanga Samia anasafiri tunamsimanga hizi siasa ndio alizisema Rostam Azizi kuwa za "Maji taka".
 
Kikwete alisafiri tukamsimanga Magufuli hakusafiri tukamsimanga Samia anasafiri tunamsimanga hizi siasa ndio alizisema Rostam Azizi kuwa za "Maji taka".
Mwenyewe mzee was maj Taka... Kuanzia Dowons,escow mpk Richmond...kila dili Ki Azizi Yumo anakuwaje Msafi
 
Kama sijakosea hizo Chinook ndio zilizomfuata Osama kule kule Pakistan usiku na kumuua halafu wakaondoka na mwili wake.
Kama sijakosea hizo Chinook ndio zilizomfuata Osama kule kule Pakistan usiku na kumuua halafu wakaondoka na mwili wake.
Ina uwezo wa kubeba Watu hamsini na tano na tani kumi za mzigo hutumiwa sana na specia forces.
 
Wale ndugu zetu wanaopita na gwaride siku ya Uhuru, na sare zao na mitungi mikubwa migongoni walikuwa wapi wakati wa ajali?
 
W
Msemaji Mkuu wa Serikali amesema hayo na kuongeza kuwa watu wanaolalamika na kuhoji juu ya kutotumika Helikopta katika uokoaji kwenye ajali ya Ndege ya Pecision Air wapuuzwe.

Amesema Serikali haiwezi kuwa na dhamira ya kuacha wananchi waangamie pale majanga yanapojitokeza na ndiyo maana walitumia kila njia kuhakikisha wanapunguza madhara ya ajali.

View attachment 2410311
Walitumia kila njia ipi? yakuvuta ndenge kwa mikono wakitumia kamba, au na uyo Dogo zilikua juhudi zao Kama sio za watu binafsi.

Bora ata ile kauli ya Waziri wa Ulinzi inaonesha Kama wizara wameona mapungufu , watayafanyia KAZI ,angalau inaleta mantiki Hata Kama hawatafanya.

Msemaji asituchanganye , kwani Serikali ikiomba radhi na kukili mapungufu huku ikitoa kauli ya kuyafanyia KAZI inapungukiwa na nini? Ukweli umuweka mtu huru,

Ni juzi tu Kama sio Rais kusema ukweli watu wachache ndani ya ccm / Serikali walitaka kuleta aibu ya karine,

Wakaanza sema sio ajali bali ni zoezi ,
 
na mitungi mikubwa migongoni walikuwa wapi wakati wa ajali?
Hata wangeajiriwa wazamia Pweza wa Pemba wanaweza sana Scuba diving bila mitungi.

Hivi vipaji vinapotea kwa kuajiri mashemeji kutoka usukumani ambao pengine hata Bahari hawajawahi kuiona.
 
Back
Top Bottom