Msemaji wa Serikali: Helikopta zetu ni za usafirishaji siyo kuvutia Ndege au Meli

Msemaji wa Serikali Mungu anakuona.
 
Mimi naimani hata leo NCCR wakitoa Raisi tutalalamika tu.
Hiyo imani unaitoa wapi? Mimi si NCCR wala Chadema lakini nakuahidi, chama kingine kikitwaa madaraka, yapo mambo ya msingi lazima yabadilike. Kuendelea kuongozwa na CCM ni uhayawani...miaka zaidi ya nusu karne chama kile kile, watu wale na mawazo yale yale ni uenda wazimu.
 
 
Tanzania spends 500bn Tsh,Each year kununua V8 ,ni planning tu hakuna kinachoshindikana

I didnt say its impossible, i said it no joke, + unachonunua ni product ya europe. Buying is not an issue , training and maintenance.
 
Asiyeelewa ana chuki binafsi
 
Mfano mzuri ni Kenya wale wale waliokuwa KANU ndio waliongoza Kenya kwa kutumia Vyama vingine sisi hapa pia hilo linakuja hawa hawa akina Majaliwa Mwinyi Chupa mpya Mvinyo unakuwa uleule, labda tutaondoa jina CCM.

Hebu fikiria kidogo.
 
 
I didnt say its impossible, i said it no joke, + unachonunua ni product ya europe. Buying is not an issue , training and maintenance.
The country have purchased 7+ aircrafts, Airbus e.t.c ,training and maintenance is not a problem at all it's issue of priorities
 
Serikali inatia aibu na utetezi wa kitoto...
 
Mkiambiwa mboreshe kwenye vikosi vya uokoaji hamtaki
 

Attachments

  • FB_IMG_1643576592312.jpg
    34 KB · Views: 2
Hivi tuna serikali au genge la wahuni waliojipa uongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…