Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Sijaona kosa la Kitende.Yeye ameripoti habari, habari ya usahihi wa habari yake na kama ina madhara kwa klabu Simba walitakiwa kuikanusha tu then Kitenge kama ni kweli angefanya kuithibitisha. Manara alipaswa kuishambulia hoja na si kumshambulia mtoa hoja.
 
Hii kauli imekaa kibaguzi.Assume wewe ni "mlemavu" kauli hii mtu anaitumia kwako au kwa mama yako una feel aje?
Kauli yako hii ndio manara anaipenda na kuiishi. Kama wewe mlemavu fanya mambo yako kwa weledi sio unazingua watu wakikwambia unatafuta huruma tena.
 
Manara aache kujipendekeza kwa matajiri kwa kutumia Uspecial group wake

Halafu mwambie aache kukaa na tako moja

Halafu mwambie aache utapeli ndio maana alitimuliwa UVCCM
 
"Umesahau lile hirizi lako ulidondosha pale radio one likakuondosha kazini"
Ebu tajadili hiki kipande kwanza hayo mengine tuache wafu wazike wafu wao
Tujadili hili ... "Je anasingiziwa..?"[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wabongo mnaakili ndogo Sana, ubongo wa sisimizi
 
TISS wa jamiiforum[emoji28]
 
Kinachombeba uwo ulemavu wake wa ngozi basi....
 
Mi nimevutiwa na huyo Boss wa USA, maana maulid nae katisha, alivyokua EFM nikasema labda safar za kikaz , alivyohamia wasafi ndo safar zikazid kuchanja mbuga, nikasema hapa kuna namna, hizi safar sio za bure
Imeisha hiyoooooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…