Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Nyie pipoo mpooo!!!looohNzuri sana shoga angu, nilikumiss sana brother nilimiss ubuyu
Shoga umeadimika utadhan kitambulisho cha kupigia kura, miss you sanaa binamu za Masiku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie pipoo mpooo!!!looohNzuri sana shoga angu, nilikumiss sana brother nilimiss ubuyu
Shoga umeadimika utadhan kitambulisho cha kupigia kura, miss you sanaa binamu za Masiku?
Hii thread inanisikitisha na kuniogopesha loh
Nyie pipoo mpooo!!!loooh
Mbona binamu unatuchanganyia ubuyu mixture wa embe na maziwa tunakuwa hoves[emoji56][emoji56][emoji56]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona binamu unatuchanganyia ubuyu mixture wa embe na maziwa tunakuwa hoves[emoji56][emoji56][emoji56]
Mtoa uzi yuko wapi aone aibu yakee huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu msengerema wako kaishia kulia kulia tu hapa..View attachment 1722214
kumbe manara ni mkubwa nchi hii, ok lakini tusisahau ni mshabiki mnazi wa timu anayoifanyia kaziHuwezi tarajia mtu anayewakilisha taasisi kubwa kama Simba kuropoka namna ile aisee!
So lack of professionalism.
huyo dawa yake ni Jerry muro. Akitokeaga muro albino anageukaga kuwa mweusi Kama mkaaAkiambiwa ukweli analia eti wanamuonea kisa mlemavu😂😂😂