Msemo gani unatumia kujifariji baada ya kumaliza pesa kwa matumizi ya kijinga au starehe?

Starehe ipi uliifanya kutamka hako kamsemo?
Ni siku moja nlikua mjini Moshi kwa sababu ilikua ni holiday nikaona isiwe kesi ..nikajongea mapema pale hugoz ... sasa pale washkaji wengi na vitoto cya 2000 ni vingi nlitoka na 400K ...nlipiga vyombo kias kwamba asubh niko na approximately 40K sijui nilikua nagawa hela au vipi [emoji23][emoji23]
 
bora uzima pesa kitu gani bhana haya maua tu
 
Dunia ni mapito
 
Lazima upagawe
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…