Ahsante Mkuu,Kukataa ukweli ni sawa na kubisha kuwa haupo hai ushabiki wangu wa Yanga haiwi sababu ya kukataa uwezo wa fundi Clatious Chota Chama " Tripe C
Ajibu angefunga vile tena dhidi ya Ihefu Fc angevua nguo zote.Mkuu goli lile wanafunga wenye akili zao tu.
Ajibu goli kama lile angevua hadi chupi. Jamaa akifungaga vigoli vya kawaida anavua shati.Ahsante Mkuu,
Ni kama mie tu navyomkubali Ibrahim Ajib
Ha ha ha,Ajibu goli kama lile angevua hadi chupi. Jamaa akifungaga vigoli vya kawaida anavua shati.
Ni kweli ila alipishana na gari la mafanikio.Ha ha ha,
Ki bongo bongo Ajib ana ufundi wake mkuu
Ahsante Mkuu,
Ni kama mie tu navyomkubali Ibrahim Ajib
Daaaah huyu dogo ana damu ya kunguni kabsaaa yaaniNi kweli ila alipishana na gari la mafanikio.
Nyie watu mna maneno!! Ila kambi "Frog" wameganda kama wamepigwa shoti ya umeme!!Ajibu angefunga vile tena dhidi ya Ihefu Fc angevua nguo zote.
AhahahahahaChama ndo mido mkali dunia nzima kwa sasa
Ajib mpuuzi na hana washauri. Jitu linaona kabisa harufu ya mafanikio halafu unaondokaAjibu mzuri shida yake hajitambui kama ilivyokuwa kwa boban wakati wake
Huwa nakosa Maneno mazuri ya kumuongelea 27' Chama, naamini Simba anapita tu, Huyu ni wa Genk, Cardif Au Nice huko.
Tumemuona fundi wa Mpira Katika kelele Chake, Haruna Niyozima, tumemuona Kamusoko lakini Chama ni zaidi.
Binafsi nikimuangalia Chama nawaona kwa wakati mmoja Fundi wa mpira Iniesta, Pirlo na Scholes.
Chama anakera na kufurahisha kwa wakati Mmoja.
Chama for president 2020