Mshabiki mwezangu wa soka, unamzungumziaje Clotous Chota Chama?

Mmekuwa 'Wajane' baada ya mume kufa. Mmebaki kusema 'tulikuwa na pesa'
Unaongea kama shoga..mikia yoyote mjanja hawezi kuona sawa..wewe utakuwa umezaliwa Bara(vijijini) bisha
 
Mnaongea maana Yanga haijafanya usajili wa maana..Bashite kawabeba mnajua Yusuph angekuwepo hakuna kenge yoyote anayeweza kupumua ..alimnunua Chirwa $100 K hakuna mchezaji Bongo aliyenunuliwa kwa bei hiyo
Chirwa Alifanya nini kimataifa ??
Tukiwa tunajadili Mashindano ya CAF kwa sasa mkae pembeni tu mtani
 
Huyu jamaa aliyemsajili Chama aliokota dhahabu aisee...
 
Chaaaaaaama leo hakuwa na mchezo mzuri na nilizani kadevu atamtoa ili aingie fundi haruna nyonzima fabregas lakini uchebe akanambia subiri nikuoneshe nini namanisha akamuita nje super engine Emanuel anord okwi na kweli hesabu haikudanganya ni vile alipokea pass marizawa triple c akamuangalia yuko wapi mkata kiuono wa kimataifa kutoka Congo na akampeleka kule kwenye kona na bana congo angefata ule mpira basi kiuono angekiacha kwa mchina akaenda congo na mgongo what a day for our country????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…