Mmekuwa 'Wajane' baada ya mume kufa. Mmebaki kusema 'tulikuwa na pesa'Mnaongea maana Yanga haijafanya usajili wa maana..Bashite kawabeba mnajua Yusuph angekuwepo hakuna kenge yoyote anayeweza kupumua ..alimnunua Chirwa $100 K hakuna mchezaji Bongo aliyenunuliwa kwa bei hiyo
Unaongea kama shoga..mikia yoyote mjanja hawezi kuona sawa..wewe utakuwa umezaliwa Bara(vijijini) bishaMmekuwa 'Wajane' baada ya mume kufa. Mmebaki kusema 'tulikuwa na pesa'
Endelea kuota Punguni wewe..Unaongea kama shoga..mikia yoyote mjanja hawezi kuona sawa..wewe utakuwa umezaliwa Bara(vijijini) bisha
Chirwa Alifanya nini kimataifa ??Mnaongea maana Yanga haijafanya usajili wa maana..Bashite kawabeba mnajua Yusuph angekuwepo hakuna kenge yoyote anayeweza kupumua ..alimnunua Chirwa $100 K hakuna mchezaji Bongo aliyenunuliwa kwa bei hiyo
Mzambia yoyote dream yake kucheza SA..sasa.Chama kacheza??Endelea kuota Punguni wewe..
We uko kwenye mawazo yao?.. mbona husemi Tshishimbi acheze Ufaransa?Mzambia yoyote dream yake kucheza SA..sasa.Chama kacheza??
Hawa Yanga Zahera amewakomba akili.. siku wakishtuka bakuli halina kituAmbae ni captain msaidizi wa Chipolopolo
Pia natamani siku moja nione combi ya chama+ niyonzima. Haruna amerudi katika form lakini naona kocha hajamuamini bado pia aanze kumpa nafasi ndemla atampa vitu vizuri kuliko muzamir
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu haujaisha bado, nipe tathimini yakoMzee Kashasha unamzungumziaje huyu mchezaji; Mchezaji ni wakawaida kabisa kuwanyanyasa stand hatuwezi kumzunguzia kwa mechi moja labda msimu utakapo isha
Uko sawa bin sawia...Kibongobongo sijamuona wa kufananishwa na chama
Ha ha haChama anajua jamani hadi kumkaba wanakataa...
Tuma salamu kwa watu watatuHuyu mchezaji ni wa kawaida sana hana mazara yoyote