Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apewe uraia tu kwa utashi wako , haya ndiyo matatizo kujitekenya umeanza na kutoa ushuzi .Habari za wakati huu, hivi ni nani aliyemuona huyu mchezaji maana anatuaminisha sana sisi ambao atujawahi kucheza soka kuuona huu mchezo ni mrahisi sana, kuna haja sasa ya TFF kumtambua Chama kama mchezaji bora wa karne hii ya 21 na kama itawapendeza serikali ya awamu ya tano impatie uraia wa Tanzania huyu kijana.
hujui lolote kaa kimya acha upimbiTshishimbi ni zaidi ya chama. Hata work rate ya tshishimbi iko juu sana tofauti na chama
Asante Mwalimu Kashasha.Bado namtafakari fundi Chama..... kuna kitu kinakuja juu yake mtaelewa .
Kwa ufupi tu , ukitaka kumjua kiungo mchezeshaji mwenye majukumu ya kutunza mfumo wa kushambulia wa timu , kupanga mashambulizi , kiungo mwenye uwezo wa ku ‘ unlock defensive plan’ ya adui , kiungo mwenye uwezo wa kuwafanya wenzake wakazitendea haki nafasi zao kwa zaidi ya asilimia 50 , kiungo mwenye jicho la kujua wakati gani timu ishambulie kwa mipira mirefu na wakati gani icheze direct play kwa maana ya kujenga shambulizi kutoka box moja kwenda jingine basi huna budi kumtazama raia huyu wa Zambia Cleutus Chama anayeichezea Simba SC .
Kwanza kabisa ana nguvu , kasi , uwezo wa kukaa na mpira na kuupeleka anapoona ni sawa kufika lakini agility yake inamfanya ku ‘impact ‘ offensive spirit kwa forwad line ambayo inaifanya forwad line ya Simba muda mwingi kuwa deep kwenye final third ya opponent.
Aussems alimsoma Chama akaona anahitaji kiungo mwenye uwezo kama wake kwenye kukaa na mpira , kupiga pasi na kuwavuruga wapinzani katika kwa jinsi anavyocheza na mpira ndipo akatengeneza pacha ya Ndemla na Chama juu ikinakshiwa na Emanuel Okwi
jamaa anajua sana,akiwa mjanja atacheza ulaya
Mhm acha hizo wewe boti la ulaya lishamuacha. He is a very gud player though.
[/QUOTE
umri?
Vip jana hakuwa na 'mazara'?Huyu mchezaji ni wa kawaida sana hana mazara yoyote
Shida yake ni uchoyoNamtazama hapa luningani, huyu jamaa alipaswa awe anacheza walau ligi kuu ya Afrika Kusini (PSL). Ana uwezo mkubwa sana hasa anapocheza kama Kiungo Mshambuliaji (Inside 10). Hapa kwenye ligi ya bongo anapoteza muda na kipaji chake.
Mshabiki mwezangu wa soka, unamzungumziaje Chama?