Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Mchezaji muhimu katka mechi muhimu na wakati muhimuHuwa anatuokoa dakika mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezaji muhimu katka mechi muhimu na wakati muhimuHuwa anatuokoa dakika mbaya
Tshishimbi ni zaidi ya chama. Hata work rate ya tshishimbi iko juu sana tofauti na chamaKibongobongo sijamuona wa kufananishwa na chama
Hawa wote ni viungo japo mmoja mkabaji na mwingine mshambuliaji...Tshishimbi ni zaidi ya chama. Hata work rate ya tshishimbi iko juu sana tofauti na chama
Anacheza na jukwaa.. halafu anafunga na kutengeneza nafasi kama kawaida.Mcheza na jukwaa na watazamaji kama wewe
Mkuu achana na huyo chura anateseka sana kutuona tuko juu kileleniAnacheza na jukwaa.. halafu anafunga na kutengeneza nafasi kama kawaida.
Huyu ndie ameifikisha Simba Q.FINAL CCL, sisi huku Simba tunatambua kazi yake.
Kabisa..!! Wao wakomae na ile Jikusanyeni Fc yao tu.Mkuu achana na huyo chura anateseka sana kutuona tuko juu kileleni
Amewasaidia nini pale yanga?Tshishimbi ni zaidi ya chama. Hata work rate ya tshishimbi iko juu sana tofauti na chama
Mzee Kashasha unamzungumziaje huyu mchezaji; Mchezaji ni wakawaida kabisa kuwanyanyasa stand hatuwezi kumzunguzia kwa mechi moja labda msimu utakapo isha