Mshabiki mwezangu wa soka, unamzungumziaje Clotous Chota Chama?

Habari za wakati huu, hivi ni nani aliyemuona huyu mchezaji maana anatuaminisha sana sisi ambao hatujawahi kucheza soka kuuona huu mchezo ni mrahisi sana, kuna haja sasa ya TFF kumtambua Chama kama mchezaji bora wa karne hii ya 21 na kama itawapendeza serikali ya awamu ya tano impatie uraia wa Tanzania huyu kijana.
 

Attachments

  • 7666eea479f74c56b14b99e5c624e8ea.jpg
    53.3 KB · Views: 2
Apewe uraia tu kwa utashi wako , haya ndiyo matatizo kujitekenya umeanza na kutoa ushuzi .
 
Hawa jamaaa hawana maneno, lakini wanajua sana, kama uraia basi wapewe tu.
Tanzania nchi kubwa sana.
 
Tanzania sio Marekani. Uraia wake hautamanishi. Huyu jamaa zile pasi zake mpenyezo sio poa. Pass laini,sio cross dongo
 
Asante Mwalimu Kashasha.
Chama akiwa na mpira, anacheza kama hataki lakini kila anachofanya ni sahihi.
Angalia Mchango wake kwenye goli la Kwanza na la pili.
Ngoja niangalie marudio kwenye U tube
 
Chama anajua halafu ana nidham itamsaidia kua na miasha pale msimbazi.
 
Alitupiamo ngapi jana maana mi nilivosikia shangwe kitaaa nikaenda kulala
 
Shida yake ni uchoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…