sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Hahaha.. Kweli Mkuu.Hasa pale jangwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.. Kweli Mkuu.Hasa pale jangwani
Cletus Chama quits Ittihad – Zambia Daily MailKwanini alishindwa kucheza Misri tujiulize ligi yetu ni mbovu au ??
Achana na kuiwezesha Zesco kufika hatua ya nusu fainali ya CAF Champions League mwaka 2016.. Pia aliwahi kusajiliwa na miamba ya soka nchini Misri, lakini alitemana nao baada ya kushindwa kutimiza masharti ya mkataba.Anacheza na vipofu why usiwe bora,angekuwa bora kiasi hicho asingekuja bongo,
Wameona uwezowake mdogo ndio maana wakafanya figisu ili avunje mkataba maana pesa wanayomlipa ni tofauti na uuwezo wake wenzetu ni wajanja sana
Wenzetu ni wajanja kama tulivyo mabingwa watetezi wa TPL, Simba SC.. hawafanyi usajili bila ya kumskauti mchezaji kwa mda mrefu tofauti na wanavyofanya Yanga SC ambao usajili wao huangalia picha za mchezaji.Wameona uwezowake mdogo ndio maana wakafanya figisu ili avunje mkataba maana pesa wanayomlipa ni tofauti na uuwezo wake wenzetu ni wajanja sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wenzetu ni wajanja kama tulivyo mabingwa watetezi wa TPL, Simba SC.. hawafanyi usajili bila ya kumskauti mchezaji kwa mda mrefu tofauti na wanavyofanya Yanga SC ambao usajili wao huangalia picha za mchezaji.
Ana kjpaji lakini anakosa vitu vingi ikiwamo kutojituma.Hakuna mchezaji mwenye akili katika ligi ya Tanzania kama Ibrahim Ajibu..Chief Coach Mwinyi Zahera
Mkongo yupi Shishimbi au Makambo?acha bange mkuuKuna huyu na mkongo wa Yanga hawa majamaa mpira wanaujua hapa Bongo wanapoteza muda tu