Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askari hakatwi mshahara. Anakatwa NHIF tu.Basic 500k
Akikatwa inakuja 300+
Bora upige mishe zako Mambo yatakuwa safiAAjira za Serkali bwana ni Utumwa sana.
Kwamba askari halipi kodi, nssfAskari hakatwi mshahara. Anakatwa NHIF tu.
You are right. Askari halipi Kodi.Kwamba askari halipi kodi, nssf
Hiyo 300k wanapewa wote?Warden nadhani itakuwa imefika 500k kabla ya makato
Then kuna allowance 300k kila mwezi
Kinachowatofautisha na vyombo vingine ni virushwa vya hapa na pale
Sasa mfungwa atatoa wapi cha juu boss [emoji23]
Na pia kwa hawa vijana wadogo wengi wanashindana balaa kila mtu anajifanya wa kishua ndio maana wengi unaona kama wanapitia msoto mkali
Wote ndioHiyo 300k wanapewa wote?
Mapolisi wanaenda UN huko wanapiga hela mzee. Nimeacha kuwadharau.Magereza sio jeshi mazee mimi mambo ya ndani yote taka taka atleast Uhamiaji sababu ya deal za foreigners
Polisi wanaendaga UN, na wanapiga hela ndefu, watu hawajuagi tu.Mapolisi wanaenda UN huko wanapiga hela mzee.Nimeacha kuwadharau.
Juzi tuu hapa wametoka kuwaaga wanaenda MsumbijiPolisi wanaendaga UN,na wanapiga hela ndefu,watu hawajuagi tu.
DuhBasic 500k
Akikatwa inakuja 300+
Ndo hivyo,ila watu wengi hawajuagi hilo,wao walishakariri ni JW tu,ndo huwa wanaenda mission za UN.
umeambiwa WARDEN ndio analipwa 800KKo kama 800k in total, Kama inawatosha bwana.