Mshahara: Askari Magereza anaeanza kazi na Cheti cha Kidato cha Nne

Mshahara: Askari Magereza anaeanza kazi na Cheti cha Kidato cha Nne

Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali

Take home kama 461,000

Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi

Jumla ya posho ni 400,000/=

Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=
Jumlisha vizuri ili utuambie jumla ni shilingi ngapi. Hesabu darasa la kwanza.
 
Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali

Take home kama 461,000

Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi

Jumla ya posho ni 400,000/=

Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=

Kumbe kuna afadhali kidogo na je kwa wanaoingia na profession ngazi ya diploma au degree? Mfano mtu ameajiriwa uko na Kada yake ni MD au Civil Engineers
 
Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali

Take home kama 461,000

Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi

Jumla ya posho ni 400,000/=

Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=
Kidogoo wewe Umempa moyoo jamaaa.. Itakuwa unaijua kazi vilivyoo[emoji16][emoji16][emoji16] Hapo bado kuna rushwaaa mbali mbalii za kutoshaaa.
 
Kumbe kuna afadhali kidogo na je kwa wanaoingia na profession ngazi ya diploma au degree? Mfano mtu ameajiriwa uko na Kada yake ni MD au Civil Engineers
Medical doctor ni 1.5m
Clinical officer 900k
Engineering sijui

Posho
Professional allowance 15%
Kitengo zahanati ya jeshi 15%
Pango kama anakaa nje 15%
Ration allowance 300,000
Chakula na vinywaji 100,000
 
Medical doctor ni 1.5m
Clinical officer 900k
Engineering sijui

Posho
Professional allowance 15%
Kitengo zahanati ya jeshi 15%
Pango kama anakaa nje 15%
Ration allowance 300,000
Chakula na vinywaji 100,000

Ok nimekupata uzuriii mzee.
 
Nilisikia wao hupata marupurupu kupitia wafungwa. Kwa mfano wafungwa wanaotolewa kwenda kufanya kazi za nje, lazima watoe posho kidogo.

Pia wake zao huwa wanapika chakula, so wale wafungwa ambao wako na noti unakuta wanawekewa bili ya menu ili wasile kile cha ndani.

All in all askari jela ndo askari mwenye maisha magumu i think kupita askari wote.

Tupate kibwagizo kutoka kwa mwanadada ASA -MR. JAILER
"Stop calling me a prisoner, you a prisoner too, mr jailer..."

Angalizo.
Sina ushahidi juu ya hili.
Hiyo Aya ya Kwanza chai...maana mfungwa kutoka nje kutanyishwa mikazi migumu ni lazima atake asitake.. Kama una hela au connection ndio unatoa ili usitoke hata nje kwenyewe
 
Kinachowatofautisha na wenzao ni hela ya pembeni

Unaona Rais anavyopokea habari za kubambikiana kesi sasa iyo ni mianya ya kupeana cha juu kutoka kwa mtuhumiwa

Sasa jiulize mfungwa anatoa wapi cha juu masaa yote yupo ndani
Mfungwa kuwa na hela sio jambo la ajabu....pia magerezani wahuni wanafanya biashara Kama kawa
 
Salaam Wakuu.

Samahani, Yeyote mwenye kutambua viwango vya Mishahara ya hawa jamaa hasa kwa hawa walioanza Kazi Mwaka huu, naomba kujuzwa.

Najua Mshahara ni siri hivyo ni ngumu sana kupata Majibu sahihi kwa watu unaoishi nao Mtaani ila humu inaweza kua rahisi

Angalizo; Mimi si Askari na sina nia mbaya (Naomba jibu tu Kiroho Safi huna Jibu Kausha)

Karibuni🙏

Nimekausha, ila Kama unapanga kufanya hayo makazi Mungu akusaidie, kazi za zuluma sana na uonevu hizo.
 
Kubwa inawatosha kumbe waache kulia lia.
Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali

Take home kama 461,000

Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi

Jumla ya posho ni 400,000/=

Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=
 
Back
Top Bottom