The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Mpaka migration Huwa wanaendaNdo hivyo,ila watu wengi hawajuagi hilo,wao walishakariri ni JW tu,ndo huwa wanaenda mission za UN.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka migration Huwa wanaendaNdo hivyo,ila watu wengi hawajuagi hilo,wao walishakariri ni JW tu,ndo huwa wanaenda mission za UN.
Issue za UN hadi uhamiaji wanakwenda siku hizi sio issue.Ndo hivyo,ila watu wengi hawajuagi hilo,wao walishakariri ni JW tu,ndo huwa wanaenda mission za UN.
Ni zaidi ya laki 8 wanapata ndio maana majeshi siku hizi yanagombaniwaumeambiwa WARDEN ndio analipwa 800K
Sio kweliBasic 500k
Akikatwa inakuja 300+
Idadi ya Police wanaoenda mission za UN ni ndogo ukilinganisha na JWTzNdo hivyo,ila watu wengi hawajuagi hilo,wao walishakariri ni JW tu,ndo huwa wanaenda mission za UN.
Wa zamani Sio siku hiziYanj Wanatia huruma sometimes na Majuto Juu.
Lakini kubaliana namimi kua watu wengi wamekariri kuwa ni JW tu, ndo huenda.Idadi ya Police wanaoenda mission za UN ni ndogo ukilinganisha na JWTz
Yeah! Ni kweli boss, tena polisi huwa wana kazi nyepesi na zenye risky kidogo.Lakini kubaliana namimi kua watu wengi wamekariri kua ni JW tu,ndo huenda.
Ndo hivyo mkuu,hivi huwa wanazingatia levo ya elimu,kuwapeleka kwenye mission,au hata form four tu,anaweza akaenda akipata mafunzo?Yeah! Ni kweli boss, tena polisi huwa wana kazi nyepesi na zenye risky kidogo.
Polisi wakienda UN wanakula shavu sana. Hawana mikiki mikiki.
Kuna jamaa yangu aliitwa kufanya PKO refresher course ya kujiandaa kwenda mission. Wakawa wanafundishwa kutumia zile Armoured Personnel Carriers ( APCs) pale kilele pori akaanza kutamba eti wanafundishwa mpaka kutumia vifaru vya kivita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikamwambia acha ujinga hizo ni delaya za kivita siyo vifaru.
Nhif hawakatwi huwa wanalipiwa na serikaliHakika mkuu makato ni Kama hivi
PAYE=11%ya basic salary
PSSSF=5%ya basic salary
NHIF=3%ya basic salary
VYAMA vya wafanyakazi inategemeana na sekta uliyo ajiriwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Take home inabaki ngapi?508,000 kabla ya makato
Kumbe wanapata inayotosha.Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali
Take home kama 461,000
Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi
Jumla ya posho ni 400,000/=
Yah inawatosha sana, ni bora wao kuliko walimu mtu umesoma degree yako afu unafanya kazi bila poshoKumbe wanapata inayotosha.
Yeah! Ni kweli boss, tena polisi huwa wana kazi nyepesi na zenye risky kidogo.
Polisi wakienda UN wanakula shavu sana. Hawana mikiki mikiki.
Kuna jamaa yangu aliitwa kufanya PKO refresher course ya kujiandaa kwenda mission. Wakawa wanafundishwa kutumia zile Armoured Personnel Carriers ( APCs) pale kilele pori akaanza kutamba eti wanafundishwa mpaka kutumia vifaru vya kivita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikamwambia acha ujinga hizo ni delaya za kivita siyo vifaru.
Sawa, ila kuna kampuni moja ya ulinzi wanalipa 650k jiongeze upande na kushukaSalaam Wakuu.
Samahani, Yeyote mwenye kutambua viwango vya Mishahara ya hawa jamaa hasa kwa hawa walioanza Kazi Mwaka huu, naomba kujuzwa.
Najua Mshahara ni siri hivyo ni ngumu sana kupata Majibu sahihi kwa watu unaoishi nao Mtaani ila humu inaweza kua rahisi
Angalizo; Mimi si Askari na sina nia mbaya (Naomba jibu tu Kiroho Safi huna Jibu Kausha)
Karibuni🙏
Sasa hiyo ataitumia wapi?View attachment 2750606
Na akishikishwa machine kama hii si ataenda hadithia kakutana kitu cha space x
Kwenye kada ya ualimu, kwakweli ni masikitiko.Yah inawatosha sana, ni bora wao kuliko walimu mtu umesoma degree yako afu unafanya kazi bila posho
Na ukiangalia huyu ni form four tena div four
Warden ndio cheo cha chini kabisa hana alama yoyote beganiumeambiwa WARDEN ndio analipwa 800K