hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx
Senior Member
- Jan 17, 2020
- 121
- 265
Kinachowatofautisha na wenzao ni hela ya pembeniKo kama 800k in total, Kama inawatosha bwana.
Jumlisha vizuri ili utuambie jumla ni shilingi ngapi. Hesabu darasa la kwanza.Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali
Take home kama 461,000
Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi
Jumla ya posho ni 400,000/=
Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=
Vitu usivyo vijua usije mbele ya watu kubisha ni vyema ukawa msomajii tuAskari hakatwi mshahara. Anakatwa NHIF tu.
Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali
Take home kama 461,000
Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi
Jumla ya posho ni 400,000/=
Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=
Kidogoo wewe Umempa moyoo jamaaa.. Itakuwa unaijua kazi vilivyoo[emoji16][emoji16][emoji16] Hapo bado kuna rushwaaa mbali mbalii za kutoshaaa.Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali
Take home kama 461,000
Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi
Jumla ya posho ni 400,000/=
Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=
hapa tz kuna mtu yupo jw na hajawahi kuiona hii,View attachment 2750606
Na akishikishwa machine kama hii si ataenda hadithia kakutana kitu cha space x
embu jumlisha tupe jibu lako mkuu kama unaona amekoseaJumlisha vizuri ili utuambie jumla ni shilingi ngapi. Hesabu darasa la kwanza.
Sasa unapelekwa Mlale au Ruhwiko utaiona wapi hii labda uzungushwe kidogo kwenye maeneo ndio utakutana nayo
Askari magereza rushwa anaipata wapi?Kidogoo wewe Umempa moyoo jamaaa.. Itakuwa unaijua kazi vilivyoo[emoji16][emoji16][emoji16] Hapo bado kuna rushwaaa mbali mbalii za kutoshaaa.
538000-47000=461000Jumlisha vizuri ili utuambie jumla ni shilingi ngapi. Hesabu darasa la kwanza.
Medical doctor ni 1.5mKumbe kuna afadhali kidogo na je kwa wanaoingia na profession ngazi ya diploma au degree? Mfano mtu ameajiriwa uko na Kada yake ni MD au Civil Engineers
Medical doctor ni 1.5m
Clinical officer 900k
Engineering sijui
Posho
Professional allowance 15%
Kitengo zahanati ya jeshi 15%
Pango kama anakaa nje 15%
Ration allowance 300,000
Chakula na vinywaji 100,000
Hiyo Aya ya Kwanza chai...maana mfungwa kutoka nje kutanyishwa mikazi migumu ni lazima atake asitake.. Kama una hela au connection ndio unatoa ili usitoke hata nje kwenyeweNilisikia wao hupata marupurupu kupitia wafungwa. Kwa mfano wafungwa wanaotolewa kwenda kufanya kazi za nje, lazima watoe posho kidogo.
Pia wake zao huwa wanapika chakula, so wale wafungwa ambao wako na noti unakuta wanawekewa bili ya menu ili wasile kile cha ndani.
All in all askari jela ndo askari mwenye maisha magumu i think kupita askari wote.
Tupate kibwagizo kutoka kwa mwanadada ASA -MR. JAILER
"Stop calling me a prisoner, you a prisoner too, mr jailer..."
Angalizo.
Sina ushahidi juu ya hili.
Mfungwa kuwa na hela sio jambo la ajabu....pia magerezani wahuni wanafanya biashara Kama kawaKinachowatofautisha na wenzao ni hela ya pembeni
Unaona Rais anavyopokea habari za kubambikiana kesi sasa iyo ni mianya ya kupeana cha juu kutoka kwa mtuhumiwa
Sasa jiulize mfungwa anatoa wapi cha juu masaa yote yupo ndani
Salaam Wakuu.
Samahani, Yeyote mwenye kutambua viwango vya Mishahara ya hawa jamaa hasa kwa hawa walioanza Kazi Mwaka huu, naomba kujuzwa.
Najua Mshahara ni siri hivyo ni ngumu sana kupata Majibu sahihi kwa watu unaoishi nao Mtaani ila humu inaweza kua rahisi
Angalizo; Mimi si Askari na sina nia mbaya (Naomba jibu tu Kiroho Safi huna Jibu Kausha)
Karibuniš
Kweli lakini unaweza kua mwaminifu Boss.
Basic salary 538,000
Makato
Payee 20,000
Pssf 27,000
Saccos yao 30000
Nhif -wanalipiwa na serikali
Take home kama 461,000
Posho mbali mbali
Chakula na vinywaji 300,000
Ration allowance 300,000 kwa miezi mitatu ambayo ni 100,000 kila mwezi
Jumla ya posho ni 400,000/=
Jumla ya pesa kwa mwezi ni 861,000/=