Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anasomesha mtoto aikomboe Africa kwani wewe umesoma shule gani na kwanini mpaka Leo hujaikomboa Africa?elimu hii bado haina connectedness na who we are supposed to align with,kusomesha shule ya private nje ya uwezo hakumaanishi kwamba wewe ndio champion ktk eneo la kumjenga mtoto,if u deeply dig ni UTUMWA ULIO RUDI KWA MLANGO WA NYUMA,afanye research ndogo tu kwa kizazi hiki cha yes no akikitazama vizuri kinaweza kufanya nini cha kuikomboa Afrika????
asiishi kwa mkumbo ambao wazazi wengi wamebebwa wakati hata huo uwezo haufiki,atajikuta anasucrifice na kubaki na wounds ambazo hatoweza kuzitibu hapo baadae ambazo in return atazihamishia kwa hao hao watoto maana atajikuta hapati matokeo yanayoendana na matokeo aliyo yatarajia,ELIMU ni zaidi ya inayotolewa darasani,
elimu inaanzia nyumbani kwao,mama/baba anapaswa kuwa ni mwalimu mkuu wa kizazi,mitaala hii ya kizungu inatupa highlight tu ila hatukuumbwa ili tuishi kwa mitaala ya kizungu,kama anaweza kunielewa ni apeleke shule ambayo imo ndani kabisa ya uwezo wake na abaki na uwezo wa savings ambazo atamudu kuzigeuza na kuwa investment,life needs more than hiyo inayoitwa elimu ya mzungu!!!
Mke wake anafanya kazi gani?kama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule
View attachment 3239070
Watu ni mafala sana unajitesa kisa englishkama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule
View attachment 3239070
kuna mtu humu aliwahi kusema mtoto asifuate mtaala wa shule peke yake, ajengewe na mtaala wa nyumbani.elimu inaanzia nyumbani kwao,mama/baba anapaswa kuwa ni mwalimu mkuu wa kizazi
Kwahiyo mkuu sisi tunabet😭😭😭😭Mm wakwangu nitampeleka kwa Hawa hawa maticha wanaobet km noma na iwe noma tu 🤔🤔🤔
Msha
Mambo madogo hayo kwa tuliosoma kayumba tunaelewa, muhimu ufahamu wa mtoto kama ana ufahamu vizuri mtoto wako wtamzidi huyo wa english mediumTatizo shule za Serikali wanafunzi ni wengi sana, darasa lina Wanafunzi 200.
Na tatizo mitoto ya siku hizi haina akili na wazazi wanawadekeza sanaTatizo shule za Serikali wanafunzi ni wengi sana, darasa lina Wanafunzi 200.