Mie unapitia crdb,ila nmb naona bdoDuh,wanaingiza kwa mafungu ama? Maana wengine bado kabisa
Kwani matokeo ya kidato cha 6 vp?Serikali inahitaji watumishi waongeze ufanisi ili kuboresha maslahi na watumishi wanahitahi kuboreshewa maslahi ili waongeze ufanisi kwa hiyo tupo kwenye mkwamo
Ni kweli Mkuu mie mwenyewe nimeona sms hapa muda mfupi uliopita hakuna nyongeza yoyote
Tatizo linaanzia kwa vitendo vya Saa 100 kupeleka mgao mkubwa Zanzibar huku akiiminya Tanganyika ambayo yenyewe ina wanachi wengi, watumishi wengi, na eneo kubwa, na nk.Sijaongezewa kabisa ata mimi.
Makubwa hamjapata hata share kutoka kwa waarabu?Serikali inahitaji watumishi waongeze ufanisi ili kuboresha maslahi na watumishi wanahitahi kuboreshewa maslahi ili waongeze ufanisi kwa hiyo tupo kwenye mkwamo
Nilikua sifahamu hivyoJugador_2023
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Wewe muongo! Tarehe moja mshahara wa nani uliwahi kuingia? Basi tufanye sawa increment siyo lazima iingie na mshahara, je unaweza kutuambia mwaka gani na nani waliwahi kufanyiwa hicho usemacho?Jugador_2023
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Bado mwarabu hajaanza kuongeza ufanisi bandarini, tukimruhusu kwa haraka ndio tutaanza kunywa maziwa yaliyochanganywa na asali🥛🍯Makubwa hamjapata hata share kutoka kwa waarabu?
Hayatoshi kuhalalisha uongezwaji wa mshahara kwa kada zote, watumishi waendelee kujifunga mkanda, increment zipo tu zitakuja baadaye, siku zote mvumilivu ndio hula mbivuKwani matokeo ya kidato cha 6 vp?
Kwanza unaonekana umeajiriwa miaka ya karibuni! Mimi binafsi nimefanyiwa hivyo mara nyingi. Mwezi wangu wa increment ni May hivyo nasubiri hadi May mwakani.Wewe muongo! Tarehe moja mshahara wa nani uliwahi kuingia? Basi tufanye sawa increment siyo lazima iingie na mshahara, je unaweza kutuambia mwaka gani na nani waliwahi kufanyiwa hicho usemacho?
Kama ambavyo hakuna Neno...mishaha" ningekuwa Mimi Mod. ningekutoa humu ,Kwa kuwa yaonekana huna akili Kabisa!"incriment" ndio nini mkuu. Hata ningekuwa mimi ndio muongeza mishaha nisingekuongeza wewe kwa kuwa unaonekana mweupe kichwani. Hatuna neno "incriment" sijui umelitoa wapi
Increment ipo!Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri[emoji377][emoji377]
Sasa na wewe hiyo MISHAHA ndio neno gani? Kumbe na wewe empty kabisa kichwani"incriment" ndio nini mkuu. Hata ningekuwa mimi ndio muongeza mishaha nisingekuongeza wewe kwa kuwa unaonekana mweupe kichwani. Hatuna neno "incriment" sijui umelitoa wapi
Acha uwongoJugador_2023
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Panua niweke ukweli!Acha uwongo
Bora mishaara ibaki ilivyoo kuliko mwarabu kabidhiwa bandari zetu zote ,tulio hai leo miaka 30 ijayo wengi tutakua tumefukiwa vipi vizazi vinavyo kuja?Bado mwarabu hajaanza kuongeza ufanisi bandarini, tukimruhusu kwa haraka ndio tutaanza kunywa maziwa yaliyochanganywa na asali🥛🍯
Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Vitu vimepanda bei