Hahaha thank you very much. Yaani mtu akiteleza tu kuandika ndo iwe big deal. Hii ni social media tu sio sehemu ya kujifanya official kihivyoUjuaji mwingi hakuna kitu kichwani sasa wewe na yeye si inaonekana mko level moja ya ujinga "MISHAHA" ndio nini??
Tanganyika yangu jamani kila mjinga ujiona ni msomi dah!!
Unawezaje kuamini ccm ?Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri[emoji377][emoji377]
Tulitarajia za DP WORLDHuyo Bibi yenu hana pesa zozote zile kelele tu
siku zote nasema na leo narudia, anaewaamini ccm akapimwe akiliNdo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Kama hakuna nyongeza maana yake UJIONGEZE kutafuta shughuli ya ziada itakayokuwezesha kukuza kipato chako
Naomba mojaMaendeleo haya hapa
Tutulie
Kulikuwa na haja gani kutangaza ahadi ya nyongeza ya mshahara kama hapakuwa na dhamira ya dhati kuitimiza? Wanazidi kuthibitisha siasa ilivyo mchezo mchafu! Ni ulaghai mtupu!Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri[emoji377][emoji377]
Sio kweli!Jugador_2023
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Nilikua napita mjini kuangalia hela yetu against dollar kwakweli hali ni mbaya sn ..tena mno. .enzi za marehemu dollar ilikua 2300 sasa 2550 soon tutaebda 3000...very very hatariiiiiiSerikali inahitaji watumishi waongeze ufanisi ili kuboresha maslahi na watumishi wanahitahi kuboreshewa maslahi ili waongeze ufanisi kwa hiyo tupo kwenye mkwamo
Hii IMEENDAA😅😅Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
SawaKama hakuna nyongeza maana yake UJIONGEZE kutafuta shughuli ya ziada itakayokuwezesha kukuza kipato chako
Nyongeza imekatwa kwa ajili ya Fungu la Kumi.Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Mbwa nyieNdo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬