Mshahara umetoka lakini hakuna mabadiliko!

Mshahara umetoka lakini hakuna mabadiliko!

Wewe mpumbavu mpeleke mwarabu akatawale kwenu pemba

Maisha hayaishii kwenye mshahara

Watu milion 50 TANGANYIKA hawategemei mshahara
Mmeambiwa mwarabu ana hela hamtaki kusikia na hamumtaki. Sasa nyongeza itoke wapi?
 
Hivi wafanyakazi wa serikali mnaishi vipi? mtu kashakopa mpaka 1/3, mshahara hauzidi milioni ata moja tu, ana familia, anajenga, ana gari, na bata hapohapo? how? maana nimeshaona salary slip kama 3 hivi inatia mashaka. Lakini hapohapo kuna wengine wana mpaka ma prado mapya kabisa how? kuna kitu gani nisichokielewa?
 
Hivi wafanyakazi wa serikali mnaishi vipi? mtu kashakopa mpaka 1/3, mshahara hauzidi milioni ata moja tu, ana familia, anajenga, ana gari, na bata hapohapo? how? maana nimeshaona salary slip kama 3 hivi inatia mashaka. Lakini hapohapo kuna wengine wana mpaka ma prado mapya kabisa how? kuna kitu gani nisichokielewa?
Side hustle mzee ..na madili meusi
 
Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment!
Ila sisi Wafanyakazi .....

!
Itakuwa Huyu ni Mfanyakazi wa TICS LIMITED, au CHADEM
 
Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment!
Ila sisi Wafanyakazi .....

!
Labda itabaki kama arrears..
 
Hivi wafanyakazi wa serikali mnaishi vipi? mtu kashakopa mpaka 1/3, mshahara hauzidi milioni ata moja tu, ana familia, anajenga, ana gari, na bata hapohapo? how? maana nimeshaona salary slip kama 3 hivi inatia mashaka. Lakini hapohapo kuna wengine wana mpaka ma prado mapya kabisa how? kuna kitu gani nisichokielewa?
Channels,connections ,michongo ya Giza...sometimes bahati tu!
 
Back
Top Bottom