Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ndo uwaheshimu na wengineKwani mihimu si na mshahara š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo uwaheshimu na wengineKwani mihimu si na mshahara š¤£
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment!
Ila sisi Wafanyakazi .....
!
AmenAhahaha
Takupa namba unipigie kesho jioni .
Huduma hii ni bure kwako, haihitaji malipo ya fedha au ngono. Lengo ni kuupa moyo wako furaha basi
Nawaheshimu sana ila nawaza tu ila inaonekana ulikopa ukajenga bukoba eti? š¤£Ndo uwaheshimu na wengine
Sina nyumba naishi room.1 tu mimiNawaheshimu sana ila nawaza tu ila inaonekana ulikopa ukajenga bukoba eti? š¤£
Sio mbaya muhimu ukuli ugali wa shikamooSina nyumba naishi room.1 tu mimi
Wala huijui asali. Basi tu umeamua kua fala kwa mkopo!Ahahahha nimekula asali
Sawa ila nitalipwa au?Wala huijui asali. Basi tu umeamua kua fala kwa mkopo!
Sjui wameongezea afya au vyombo vya U & Ucadre gani mmeongezewa .....?
Afya hapana 102%Sjui wameongezea afya au vyombo vya U & U
lla nmeona changes
Jamaa jinga sanaMkuu njaa isikufanye kuwa.mpumbavu...nrnda benk kachukue mshahara ulipe hayo madeni...pumb...fun!
hapo kwenye madili meusi labda. Maana it doesnt make sense mtu anachapa kazi asubuhi mpaka saa tisa mchana au kumi. Wizi hautoisha na ni sawa tu maana wanasiasa wanadharau sana.Side hustle mzee ..na madili meusi
Mikopo mkuu.Mkuu unalipwa na posho au ndo hiyo tu mchezo umeisha?
We jisifu wakati unateseka kupiga vizinga jamaa na ndugu.Kwa ufupi hata tusipolipwa mshahara kazi hatuachi na maendeleo tutafanya