Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mkawaamini CCM??Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment!
Ila sisi Wafanyakazi .....
!
Nataka nikushauri jambo.Acha kebehi
Sasa Kwa Nini ulikuwa unatukana,huku huna uhakika Kiongozi...NMB mshahara umetoka asubuhi ..inategemeana na Mahalia ulipo! Kama hali imebana sana njoo inbox!Nmb salary Bado hawatoa labda Kam upo bank tofauti na hii
Enjoy it
Ghafla sanaNataka nikushauri jambo.
Nikupe mchongo mimi mtu poa. Wengi nimewasaidia
Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment!
Ila sisi Wafanyakazi .....
!
Sasa ndugu unatoboaje na ka mshahara ako? Si kesho tu kanaishaAta mimi mkuu sijaona ongezeko lolote lile.View attachment 2695976
Ila wewe mkweli mzeeNCHI YA TAJIKISTAN INA RAIS NA WASAIDIZI WAKE WAONGO WAONGO KWELI...
KuMBe hasira zote zile za kuniita msengerema ulikuwa unawaza mbunye..hebu acha kutegemea TGS kumbunyia aisee utakufa mapena!Sawa,ngoja nianze kuoga kabisa nitoe na bike nkakojolee litoto la watu Kum.....
Kila mtu atakufa ,enjoy life to the fullestKuMBe hasira zote zile za kuniita msengerema ulikuwa unawaza mbunye..hebu acha kutegemea TGS kumbunyia aisee utakufa mapena!
We wakwako uko wapiSasa ndugu unatoboaje na ka mshahara ako? Si kesho tu kanaisha
Mimi bado kabisa sio tarehe zetu hiziWe wakwako uko wapi
Sawa.Ghafla sana
Uyo kataa wa takaaa uoni kidogo anaanza kulegea kaza umsaidieSawa.
Mimi nataka nikupe connection ya uhamisho uhamie kwenye angalau kidogo.
Haya nipe chap mkuuSawa.
Mimi nataka nikupe connection ya uhamisho uhamie kwenye angalau kidogo.
Mahausboi bwana..Mimi bado kabisa sio tarehe zetu hizi
Kwani mihimu si na mshahara 🤣Mahausboi bwana..
AhahahaHaya nipe chap mkuu