Mshahara umetoka lakini hakuna mabadiliko!

Mtajua wenyewe, walimu ni mafala sana huwa wanawaabudu wanasiasa sana. Mnachagua viongozi wa CWT ambao ni submissive kwa Serikali. Hii serikali unapopambania Maslahi ya Watumishi haitakiwi kubembelezwa. Sasa kiongozi anaandika waraka mrefu zaidi ya ule wa Waebrania amejaza sifa za kiongozi. Mtaendelea kuchezewa mpaka mnastaafu, mpaka mtakufa.
 
Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment!
Ila sisi Wafanyakazi .....

!
Ktk inchi hii wafanyakazi wa umma ndio wanadharaulika sana na wanasiasa!
Fikiria, mtu amefanya kazi kwa miaka zaidi ya 30, ghafla tu wanasiasa wamekula hela ya mifuko ya akiba zao, wanaamua kubadilisha sheria ili kufuta au kupunguza mafao yenu, lkn wafanyakazi wanakuwa kimya tu, hata kusemea haki zenu hamuwezi!? Sasa mkataba kama ya DPW ikipita mbele yenu mnaweza kutenda haki kweli?
Mishahara wameamua tu kuto iongeza kwa kila aina ya kisingizio!
Miaka saba walisema mara uhakiki, mara bado tunajenga uchumi . ...
Kujenga uchumi ni pamoja na kuongeza mishahara ya wafanyakazi ili hela izunguke, uwezo wa watu kununua uongezeke na uchumi ndo utaongezeka!
Nyinyi ndio wasomi tunao wategemee, onyesheni uwezo wa kudai haki zenu!
 
Nimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
 
Mama muongo nyie hakuna kitu
Sio muongo ... Alieema kweli kwamba mambo ni moto , mambo fire kimya kimya... Hukuelewa ???kazi ya moto ni kuunguza. Nyie endeleeni kusombwa na malori kupelekwa kujaza viwanja vya mikutano Yao... Hilo ndilo fungu lenu !!
 
Mmepigwa na kitu kizito chenye ncha Kali utosini
 
Imetengenezwa ajenda kuondoa watu kwenye mjadala wa uuzwaji wa BANDARI ZETU KWA DP WORLD.
 
Your browser is not able to display this video.
 

Watu wanalamba asali Mkuu 😃😃 usichokielewa hapo ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…