hamumwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 754
- 664
Anaupiga mwiiiiiiingiiiii hadi raaha sukuma gang wanaona wivuMama anaupinga mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaupiga mwiiiiiiingiiiii hadi raaha sukuma gang wanaona wivuMama anaupinga mwingi sana
Kuna Siku nilisema Watumishi walio wengi Uelewa Wao mdogo ktk Masuala ya KODI wengi waliamini hiyo nyongeza ni kubwa na haitakatwa Kodi Matokeo yake ni Vilio kila idaraKuna jamaa yangu kaongezewa elfu ishirini kwenye mshahara wake (20,000/=), halafu jumla ongezeko kwenye makato yake ni shilingi 7,900/=, kwa hiyo ongezeko la pesa kwenye take home ni sh 12,100/=. Hiyo ndiyo wanasema unapewa kitu kwenye mkono wa kulia halafu unanyang'anywa kwenye mkono wa kushoto!!
Sasa huyu hawezi kusema nimeongezewa sh 20,000/=, bali atasema nimeongezewa sh 12,100/= ambayo haitoshi kulipia hata kodi ya nyumba ya nusu mwezi!! USHAURI: Ongezeko la mishahara liwe linalenga kumwongezea mtu kwenye TAKE HOME CASH!!
Chanzo chako ni kipiMkeka huu hapaView attachment 2300694
Wewe unabwaja tu.kil aliyekua ana ndot za kuajiriwa akipata hio ajira anakuja kujua kunbe mshahar hautosh kukidh mahitaj mengine.unaongea ongea tu hapo kwa shemej yako na remote umeshika.Mkuu kwanini usiache kazi waajiriwe watakaorizika na Mshahara wako ?