Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kuna nini tena jamani? ^Waacheni viongozi waishi vizuri!^
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaale matarumbeta Yao hapo huyaoniKuna nini tena jamani? ^Waacheni viongozi waishi vizuri!^
Majuha sio kidogoHawa watu ni majuha sana ndio maana serikali inawachezea jinsi itakavyo.
Mara nyingi tu mbona inatamkwa bungeni? Huwa hamfatilii bunge la bajeti?Naomba chanzo cha data zako.
Tatizo lako wewe nguchiru unafikiri watu wote humu ni vilaza. Sukuma ganga ndo waliahidi 23% au unajitoa ufahamu tu wewe mbulula. Na Bahat mbaya kwako niliachana na utumwa wa serikali ya maccm jiwe alipoingia tu ikulu. Nikaamua kufanya mambo yanguUsijifanye wewe si mmoja wao wakati MBOWE yupo anaramba nae asali!
.. Sukuma gang wanekomeshwa!
Sema upo tayari sio tupo tayariAcheni kqzi tu sisi ambao hatujaajiriwa tunatamani basi hata izowalizo ongeza wangepunguza kwenye mshahara wazamani yaani mshara ndio upungue sio kuongeza natupo tayari kwa kazi nakuimba mama mama mama
Kama ni bunge naomba link ya hiyo nyaraka.Mara nyingi tu mbona inatamkwa bungeni? Huwa hamfatilii bunge la bajeti?
Chukua hii
View attachment 2301111
Mishahara kama ni haiwatoshi si muache kazi zenyewe, mtupishe sisi wahitaji wa mishahara hiyohiyo, tena hatuhitaji hata nyongeza.Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Akili yako ipo likizoKama ni bunge naomba link ya hiyo nyaraka.
Halafu Bungeni sijawahi kuona taarifa inatolewa kwa lugha ya Kiingereza.
Badala ya kuleta kejeli unaweza ukaweka link tu ukaonekana mstaarabu. Au kama taarifa uliyorusha screenshot haiko mtandaoni basi sema umeitoa kwenye chapisho lipi.Akili yako ipo likizo
Wingi inaanza nangapi Mimi nawatambua zaidi 20 natupo kwenye group nakama hauamini washauri wenzako mjitoe alafu serekali itangaze tends uone kama nafasi haziwi chache nakushangaa unapinga hata ukweli khaaaSema upo tayari sio tupo tayari
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nyingi sana ,zinatosha sana kuwafanya muendelee kupiga makofi
Dogo vipi nawee umepata 20k? Unipasie 10k.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41]
Huna majukumu kijana tuliza kifurushi hichoWingi inaanza nangapi Mimi nawatambua zaidi 20 natupo kwenye group nakama hauamini washauri wenzako mjitoe alafu serekali itangaze tends uone kama nafasi haziwi chache nakushangaa unapinga hata ukweli khaaa
Miaka hii mitano kuja kuisha watakuwa wametunga albamu 60 za ngojera. Kuleni kulingana na urefu wa kamba zenu. Kwani hamkusikia akiwazodoa?
To yeye wangu, mamboRelax,relax...easy tafadhali