Tena bora ya kaole,ni mr pimbi groupKaole sanaa grupu sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena bora ya kaole,ni mr pimbi groupKaole sanaa grupu sio
Wako wangapi?
Ila bei ya vitu ni dunia nzimaDah.. Bora niendelee kupiga forex tu!
Nikitengeneza $10 kila siku kwa mwezi nina kama kilo 6!
Watumishi poleni..
Bora Magu hakuongeza kabisa mshahara ila vitu havikuwa bei juu namna hii!
Sasa hiyo 20 inamsaidia nini mtu ambae garama za maisha zimepanda kwa kasi namna hii?
...Unakaa Kwa Shemeji Yako???Asante sana mama samia, hakika umeupiga mwingi, nilichokikuta kwangu si Hana[emoji120][emoji120][emoji120]
...Basi wewe uko Uani Badala ya Jikoni! Mshahara Umetoka!...wanawarusha roho tu. tulioko jikoni tunajua. haujatoka.
...Sri Lanka....!hivi, waalimu nchini tufanyeje ili kuwakomboa. manake sura zote hap naziona ni za waalimu. na hapo hasira zao zote zinaenda kuishia kwa watoto wa watu.
Wala sijakopa mkuuulitakiwa usubirie kwanza mshahara wa mwezi huu ndipo ukope unaiaminije ccm na serikali yake kirahisi hivo
Anyway wana siasa sio wa kuwategemea
Wakuu tujiongeze sna nje na hizi kazi nina mawazo tofauti sna.
Mwakani nitareta mrejesho wa kuwa na other side income
Nitapambana hadi nipate huu mshahara ninaolipwa Kwa mwezi.
Usiku mwema
Unacheza na elimu za watuNa ninyi acheni kulalama kuna wengine hata laki mbili hapati kwa mwezi na matumizi yote hayo yanamtegemea ningekupa mfano binafsi ila utaniita motivation speaker
😄waache kama wanachokipata hakitosheiUnacheza na elimu za watu
Wafanyakazi mnaogopa hata kugoma au kuandamana hata siku moja mnategemea nini?Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Tafuta Karani wako akupeTupe hesabu ya kima cha chini basi.
Kwa hiyo wanaolalamika ni elfu 20 wanapokea Mil 3 plus...???? mmmhMkeka huu hapaView attachment 2300694