Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanacheka huku wanakula upepo wa Bahari na hakuna cha kuwafanya wala fyokofyoko, wakati wao wanalambishana asali wewe utalambishwa udongo.Waache walale tu kwa kweli. Elfu 20 na nyongeza ya 23% wapi na wapi!!
Hatimae hayawi hayawi yamekua, lile Jambo letu limekuwa sio Jambo letu Tena ,Bali kilio, Leo watumishi wa umma watalala mapema na viatu.
Hii Ni baada ya kuzania kikubwa Sasa limekuwa kiduchu, sensa wamepigwa na kitu KIZITO , na Sasa lile Jambo letu limewafletisha kabisa,
Sasa ndugu zangu watumishi msijali na Mimi ni mmoja wenu, nashauri tuwe Kama sirilanka , futa TUCTA ,FUTA CWT, FUTA UJINGA WOTE, FUTA CCM,
ILA KULE ZANZIBAR WAO WAMELAMBA ASARI HONGERA SANA .
ILA TUKUMBUKE KEKI INALIWA NA STAFF.
Hawa jamaa wa MoF&P wanafahamu hesabu hadi wanaumwa,unakumbuka PM aliwahi kuunda TaskForce kuwachunguza?Wazuri wa hesabu za kutoa kidogo&kujumlisha zaidi.Alafu mpaka unamaliza kutoa hako ka salary iliyoongezeka ishakatwa yote kwenye tozo
Watu mnapenda kujiupgrade, eti mlioko jikoni[emoji23][emoji23][emoji23].wanawarusha roho tu. tulioko jikoni tunajua. haujatoka.
Lakini mbona Jeshin wameongezewaa kikubwaaa tuuuuuView attachment 2300489
Tusubir Serikali izungumze
Kaole sanaa grupu sioEeeenHeeee Heeeee!
Nyongeza ni nyongeza mkuu 'bloggerboy', shukuru (sana) kwa ulichopata!
Maigizo na yaendelee!
Nae ndiyo hakupendi kabisa tu Mkuu.Samia nimekuchukia sana,
Wako wangapi?Toka lini Watumishi wa Umma walifika 2M??