Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Kuna Siku nilisema Watumishi walio wengi Uelewa Wao mdogo ktk Masuala ya KODI wengi waliamini hiyo nyongeza ni kubwa na haitakatwa Kodi Matokeo yake ni Vilio kila idara
 
Mimi naona ikiongezwa elf20 kila mwaka siombaya...ila kwa utalatibu wa kuongeza kwa miaka 6 elf20,hii sio nzuri..
 
Sasa hujui matatizo ndiyo MTAJI wa wanasiasa? Wakiyatatua leo yakaisha, kesho watakula mawe?

In short, lazima wayapalilie matatizo mengine ile kesho maisha yao yaendelee.

^Acheni viongozi waishi vizuri!^~ in someone's personal voice.
 
Mkuu kwanini usiache kazi waajiriwe watakaorizika na Mshahara wako ?
Wewe unabwaja tu.kil aliyekua ana ndot za kuajiriwa akipata hio ajira anakuja kujua kunbe mshahar hautosh kukidh mahitaj mengine.unaongea ongea tu hapo kwa shemej yako na remote umeshika.
Kuongeza ongezeko lipo na litaendelea tu.na umekaa kubeza wenzio kuona wasiseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…