Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mlitumwa kuwa watumwa wa fisiemu? uchaguzi mnawasaidia kuchakachua, lakini katika mambo ya msingi hakuna mnachofaidika kimsingi nyie watumishi ni watumwa wa wanasiasa na mmeamua wenyewe kuwa hivyo, hakuna aliyewatuma kutumikia wanasiasa sasa vuneni mlichopanda Idiots!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…