- Thread starter
- #41
Nimemchukia gafla huyu mamaWatumishi kuweni wapole kidogo,haya mambo yanaongeleka[emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemchukia gafla huyu mamaWatumishi kuweni wapole kidogo,haya mambo yanaongeleka[emoji28][emoji28]
SawaRidhikeni
Ulitaka wawe watumwa wa chaggadema?Mlitumwa kuwa watumwa wa fisiemu? uchaguzi mnawasaidia kuchakachua, lakini katika mambo ya msingi hakuna mnachofaidika kimsingi nyie watumishi ni watumwa wa wanasiasa na mmeamua wenyewe kuwa hivyo, hakuna aliyewatuma kutumikia wanasiasa sasa vuneni mlichopanda Idiots!
55000 x 7= 385000
..Marehemu kachelesha sana watumishi.
Hongereni kwa kilichopatikana.
Cheka tu upunguze kujisikia vibaya 😄Nacheka km mazuri
Sure ...Roho mbaya ya Mwigulu nimeivulia kofia [emoji18][emoji18][emoji18]Mnalalamika sana asee, wakati wa kushangilia tulisema humu jamani tulieni hivyo hivyo muda bado!.
Ahahahaaaa [emoji28]...
Tozo za bank Zimefanyaje tena?Niliandikaga humu kuhusu ongezeko la mshahara na gharama za maisha kupanda Ni sawa na kazi bure!,Kuna mimemba ili attack komenti yangu!.
Haya Sasa moja toa moja sawasawa na ngapi Sasa..?
Na sahivi Kuna tozo ya kutoa pesa bank dah! Hii sirikali ya Sasa inapenda hela si mchezo!.
U niuhun kama uhun mwingineView attachment 2299940
Hicho kilicho3ongezeka,nauza gari mkuu
Acheni kqzi tu sisi ambao hatujaajiriwa tunatamani basi hata izowalizo ongeza wangepunguza kwenye mshahara wazamani yaani mshara ndio upungue sio kuongeza natupo tayari kwa kazi nakuimba mama mama mamaNMB: Mshahara umetoka nyongeza ipo, lakini lazima ucheke tu
Nyongeza ni ndogo sana D wengi wanepewa 55k
A wamepewa 85k
Kweli hesabu ya accounts na ya ualimu darasani ni tofauti sana.