Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
20 inatosha ku brush viatu mwezi mzima na chenji juu kama utafanya mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazani wananchi tumekua mazuzu sana, Hali ikifika kama Sirilanka hapo tutaanza kuelewana.Na hyo 20000 kuitoa benk ni balaa la tozo
hauzeeki tuuMimi
Sure, Mwigulu mtu mbad Sana.Waziri wa fedha ni Mwigulu mkuu, mnyiramba mwenye kiburi, roho mbaya na mpigaji. Sijawahi kutarajia mazuri kutoka kwa mtu huyu, mbaya zaidi ni kipenzi cha mama.
kama maslahi madogo mbona huachi kazi ukajiajiri?Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Hawa wanazungumzia salary ip sasa aisee kama haujatoka.acheni ujinga, mshahara haujatoka, na hautatok aleo. labda usiku,kesho mabenki yatasambaza au jumatatu.
Unaishi wapi?
wanawarusha roho tu. tulioko jikoni tunajua. haujatoka.Hawa wanazungumzia salary ip sasa aisee kama haujatoka.
mimi niko E, ni 30Sio kweli,E ni 55.
Kaupiga mwingi hadi nje ya uwanja.Samia nimekuchukia sana,