Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Niliandikaga humu kuhusu ongezeko la mshahara na gharama za maisha kupanda Ni sawa na kazi bure!,Kuna mimemba ili attack komenti yangu!.

Haya Sasa moja toa moja sawasawa na ngapi Sasa..?

Na sasa hivi Kuna tozo ya kutoa pesa bank dah! Hii sirikali ya Sasa inapenda hela si mchezo!.
yani serikali kuongozwa na mwanamke ndo ipende hela kiasi hiki??? yani huyu mama balaa anawaza tozooo tuu
 
Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Utapewa kazi ya sensa utasahau haya
 
Acha kazi njoo tujiajiri uwe billionaire
 
IMG-20220722-WA0000.jpg
 
kwa kifupi hata wafanyakazi woote wa umma waipigi kura chadema, namba yao ni ndogo sana, ni laki saba na ushee tu, hawana athari yeyote kwa ccm. kwahiyo, siku ccm ikiamua kuwachinjia baharini wanaweza wasizithamini kura zenu na hamtabadilisha chochote.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom