- Thread starter
- #101
Hawana pesa ila Tambo kibaoDuh! Shida nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana pesa ila Tambo kibaoDuh! Shida nini?
yani serikali kuongozwa na mwanamke ndo ipende hela kiasi hiki??? yani huyu mama balaa anawaza tozooo tuuNiliandikaga humu kuhusu ongezeko la mshahara na gharama za maisha kupanda Ni sawa na kazi bure!,Kuna mimemba ili attack komenti yangu!.
Haya Sasa moja toa moja sawasawa na ngapi Sasa..?
Na sasa hivi Kuna tozo ya kutoa pesa bank dah! Hii sirikali ya Sasa inapenda hela si mchezo!.
27000Mshahara umetoka,msidanganyane.
Jamaa yangu ni teacher,kanitonya.
Yeye Yuko G. Alikua anapata 1,161,000 leo kakuta 1, 188,000
Wa mahesabu pigeni
Utapewa kazi ya sensa utasahau hayaKamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Watumishi wotee tuWalimu ni janga
Ndiyo maana Magufuli alimtimua. Kweli Magufuli aliwatambua hawa kenge. Mmoja fedha, mwingine umeme na mwingine mawasiliano. Huko koote kumevurugika vibaya.Sure ...Roho mbaya ya Mwigulu nimeivulia kofia [emoji18][emoji18][emoji18]
Daaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samia nimekuchukia sana,
Asante mwigulukama maslahi madogo mbona huachi kazi ukajiajiri?
wacha kulia lia,Kama maslahi madogo waachie wengine.
serkali haijavuka wafanyakaz laki 7Sasa ulitegemea nyongeza kwa watu zaidi ya milioni 2 iwe kubwa kiasi gani? Hizi hela hujui ndo tunazotozwa kwenye miamala?
Wanatuona mazuzuLile jambo letu ndo hili....tunywe mtori nyama zipo chini!
hivi, waalimu nchini tufanyeje ili kuwakomboa. manake sura zote hap naziona ni za waalimu. na hapo hasira zao zote zinaenda kuishia kwa watoto wa watu.