BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
F nasikia ni 29k🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako sensa ina si zaidi ya 360,000 hadi mwisho.Utapewa kazi ya sensa utasahau haya
Wenzio wako hapa kuchukua hiyo twenty kwenda kujipongeza😀 😀 😀unaongezewa elfu 20000 alafu maisha yanapanda kwa laki
Waalimu wanajiita jeshi kubwahivi, waalimu nchini tufanyeje ili kuwakomboa. manake sura zote hap naziona ni za waalimu. na hapo hasira zao zote zinaenda kuishia kwa watoto wa watu.
Ni kweli bosslady nywele tu unasuka kwa Tsh 300k na kwe mwezi unasuka mara 4 bajeti ya mwezi unatumia 5M kwenye Mambo madogomadogo Kama kusafisha kucha na mafuta sasa hii elfu 50 waliyoongezewa isingeweza kukusaidia chochoteUtumishi wa umma ni wito hiyo elfu 50 wengine haitoshi hata kulipia kingamuzi sijui mnalipaje bills zenu🥺
Hata mm mgeni hapa mkuuHapo ni morogoro😂😂😂😂😂
Wengine wameshapata notification, yaani Bora maza angewaambia watembee na Vaseline maana watumishi wametatuliwa malinda bila kilainishi.Mbona sie hatujaona jamani