Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

20,000 siyo nyongeza hiyo itakuwa increment ambayo ni lazima kulingana na mkataba.

Naona nyongeza itakuwa mwezi ujao
JamiiForums-2110823458.jpg
 
Watumishi wa umma wanategemewa na wapiga kura wengi kujikimu kimaisha kama vile wazee, wanafunzi wa vyuo na familia kwa ujumla, kwahiyo wana uwezo wa kuwashawishi wategemezi wao kubadilisha mwelekeo wa kupiga kura.
wangekuwa na uwezo huo wangeshafanya zamani sana kwasababu wao ndio katika jamii wanaaminikwa kuwa ni kundi la wasomi wenye uelewa kuliko wengine. wangeshafanya chini chini kushawishi na kuleta mabadiliko.
 
Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Tanzania has no FUTURE... Endeleeni kumpongeza mama kwa kuupiga mwingi.
 
Milmesema muda mrefu walimu kusoma na kuelewa hamjui
23.3 ni kwa kima Cha chini tu
 
Wao walishajiongezea posho za nje ya ofisi kwa 100% yaani kufikia 250,000/- kwa siku. Wao nyongeza sio muhimu watakula posho za nje ya ofisi na masaa ya ziada kazini !!
icho kitu nakisubiri kwa hamu mno. nitazilaaa. na kwajinsi ninavyosafiri.
 
Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
you should have calculated it before, au hesabu ni ngumu
 
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Watashoboka na nani na Serikali ndio inawapa maisha? Hiyo jeuri wataitoa wapi?
 
Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
mkusanyane wote, muambizane msipigie kura sisiemu, afu muone kama sisiemu haitashinda. watu wenyewe hata laki nane hamfiki. cha kuwashauri, kuweni wapole, mpige kazi, pigeni na madili nje ya kazi msitegemee mshahara tu, siku nchi ikiwa na uchumi mzuri zaidi, mtaurahia maisha tena mkiwa seniors. kwasababu kwa hali ya kawaida, kama mama pesa hana, mnataka awaongezekee mshahara mkubwa kwa pesa ipi? ridhikeni.
 
Back
Top Bottom