Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wangekuwa na uwezo huo wangeshafanya zamani sana kwasababu wao ndio katika jamii wanaaminikwa kuwa ni kundi la wasomi wenye uelewa kuliko wengine. wangeshafanya chini chini kushawishi na kuleta mabadiliko.Watumishi wa umma wanategemewa na wapiga kura wengi kujikimu kimaisha kama vile wazee, wanafunzi wa vyuo na familia kwa ujumla, kwahiyo wana uwezo wa kuwashawishi wategemezi wao kubadilisha mwelekeo wa kupiga kura.
Heri angekaa kimya . Hata jiwe aliongeza increment moja ambayo ni zaidi ya hiki walichokuwa wanatangazia Dunia asubuhi, saa SITA, na jioni kama dozi ya Panadol.!!!!Afadhari hata Hayati alikuwa Anatufokea tunaelewa kuliko huyu ambaye hatufokei lakini hatumwelewi!
Tanzania has no FUTURE... Endeleeni kumpongeza mama kwa kuupiga mwingi.Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
kinachosikitisha siku zote ni kwamba, watumishi wa umma ndio walipa kodi namba moja, hata kabla mshahara haujafika kwenye account ya bank kodi imeshakatwa.Tanzania has no FUTURE... Endeleeni kumpongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Acha kabisaa huzuniiiNdio nimeenda kusoma huo uzi…
Doh
Bora wangeshusha Bei vitu afu wasituon geze !![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Utumishi wa umma ni wito hiyo elfu 50 wengine haitoshi hata kulipia kingamuzi sijui mnalipaje bills zenu[emoji3064]
sss 11, watumishi 00, yaani kila mchezaji kaondoka na golilake. na refa kaondoka na mpira.Mpaka sasa ssh 4 watumishi 0.
#MaendeleoHayanaChama
Wao walishajiongezea posho za nje ya ofisi kwa 100% yaani kufikia 250,000/- kwa siku. Wao nyongeza sio muhimu watakula posho za nje ya ofisi na masaa ya ziada kazini !!Aliyebahatika kupata nyongeza ya 23.3% ajitokeze.
icho kitu nakisubiri kwa hamu mno. nitazilaaa. na kwajinsi ninavyosafiri.Wao walishajiongezea posho za nje ya ofisi kwa 100% yaani kufikia 250,000/- kwa siku. Wao nyongeza sio muhimu watakula posho za nje ya ofisi na masaa ya ziada kazini !!
you should have calculated it before, au hesabu ni ngumuKamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Watashoboka na nani na Serikali ndio inawapa maisha? Hiyo jeuri wataitoa wapi?Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
mkusanyane wote, muambizane msipigie kura sisiemu, afu muone kama sisiemu haitashinda. watu wenyewe hata laki nane hamfiki. cha kuwashauri, kuweni wapole, mpige kazi, pigeni na madili nje ya kazi msitegemee mshahara tu, siku nchi ikiwa na uchumi mzuri zaidi, mtaurahia maisha tena mkiwa seniors. kwasababu kwa hali ya kawaida, kama mama pesa hana, mnataka awaongezekee mshahara mkubwa kwa pesa ipi? ridhikeni.Kamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.