BAHARI J
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 930
- 1,151
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka siku mjitambue wapuuzi nyieKamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
55,000 ni salary au addition to salary?Chukua 55,000/2350 Usd =23.4 Usd per month imeongezwa. Utaishije ?
Kula kimasihara pia inapanda😀 😀 😀unaongezewa elfu 20000 alafu maisha yanapanda kwa laki
Daah hadi huruma.Asante mama, binafsi nashukuru sana kwa hicho kilichoweka,
Usd 23.4 unaongeza kwenye basic salary kabila ya deductions na kodi ya PAYE unatarajia nini kama wewe sio umelazwa mirembe?Wewe ni fala na uliyejaa mavi na mausaha kichwani..
55,000 ni salary au addition to salary?
Sawa unaempenda maza Ila sio kwa staili hyooPesa yote hiyo yaani 55,000 to 85,000 ni pesa kidogo? Acheni upumbavu nyie.
Hiyo ilifanyika kwa fedha za mikopo. Naona ulidanganywa na marehemu na ukadanganyika.Kweli usolijua ni kama usiku wa giza, hiyo miradi ya JPM ingekamilika akiwepo ndo mngemjua vizuri msukuma vile anapenda sifa, wafanyakazi wasingetamani aondoke madarakani, tulikuwa tumeshazoea sisi wenye akili, huwezi pingana na mabepari wakakupenda hivyo hata angesema akope pesa alipe mishahara kama mama anavyofanya wangempa masharti ambayo mtu wa mlengo wake wa kisiasa asingeafiki, R.I.P JPM.
Acha Kabisaa ni huzuniii tupuuUnacheka kwa masikitiko walai!! Hutu Mama[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
E naskia 30k plus,Si ya kucheka haya walai!! Halafu mimi bado sijaona hata kwa komenti hizi ngachoka[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji119][emoji119]
Enhee vishaumanaa tayariii[emoji16][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]Nyieeeeeeeee mwanasiasa mtu mbad jamaniiiii [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!!
Wewe ni fala na uliyejaa mavi na mausaha kichwani..
55,000 ni salary au addition to salary?
Ulitaka iwe kwa staili gani?Sawa unaempenda maza Ila sio kwa staili hyoo
..😂😂... wanasiasa wa Tz wahuni sana.