Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Mpaka siku mjitambue wapuuzi nyie
 
Kweli usolijua ni kama usiku wa giza, hiyo miradi ya JPM ingekamilika akiwepo ndo mngemjua vizuri msukuma vile anapenda sifa, wafanyakazi wasingetamani aondoke madarakani, tulikuwa tumeshazoea sisi wenye akili, huwezi pingana na mabepari wakakupenda hivyo hata angesema akope pesa alipe mishahara kama mama anavyofanya wangempa masharti ambayo mtu wa mlengo wake wa kisiasa asingeafiki, R.I.P JPM.
Hiyo ilifanyika kwa fedha za mikopo. Naona ulidanganywa na marehemu na ukadanganyika.
 
Mtu unaongezewa mshahara sh 36,000 halafu zote zinarudi serikalini kupitia tozo za miamala ya benki na kwenye simu
 
Si ya kucheka haya walai!! Halafu mimi bado sijaona hata kwa komenti hizi ngachoka[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji119][emoji119]
E naskia 30k plus,
Wengine f na kuendelea majanga matupu...hakuna lolote
 
Nyieeeeeeeee mwanasiasa mtu mbad jamaniiiii [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!!
Enhee vishaumanaa tayariii[emoji16][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • 35F0CAE6-CF24-4BED-A700-714598A49154.jpeg
    35F0CAE6-CF24-4BED-A700-714598A49154.jpeg
    40.6 KB · Views: 7
Ili mtu atawalie mfanye akutegemee kwa namna yyte Ile. Watu watawalike na waliwe Kama Simba n.k anavyo impose fear kwa prey wanakosa judgement nzuri wanaliwa. Sasa wewe unakataa kuliwa wao Simba watakula wapi.
Watu wananunua apartments zao huko Sydney, Barcelona Paris, Milano,Rome,, Bahama,new York, London, Liverpool na Geneva wewe unajiliza jamani. Inatakiwa usimame tayari upo down kwa Ile food chains.

Nawambieni tofauti ya binadamu na wanyama Ni ndogo. Wote Ni wachoyo wanauana wanakulana sema dini inakuambia ufanye vitu ambavyo Ni against na nature biologically like don't make your dikisoni hard in front of nice chick. Is it possible jamani kweli
 
Back
Top Bottom