Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
IMG-20220722-WA0208.jpg
 
Watz kwa kulalamika mnaongoza huku Huduma mnazotoa zikiwa chini ya viwango .
 
Mkuu, umewapa madini yaliyoshiba, itoshe tu kusema wakushukuru kwa angalau kuwafungua kimawazo.

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
Kama umeweza kusoma big up Mana najua wengi stories za ku entertain brain ama za kula kimasihara tunachambua nukta kwa nukta mpaka logic Ina execute computation inakataa kuwa wewe hii Ni chai.
Najiulizaga iwe chai ama ugali ama ukweli wewe utapata ama kufaidika nini
 
Bado unakatwa benki na inflation iko juu, bado unalazimishwa bank ya kuingiziwa salary ili ukuze biashara zao, baadaye wanakukata mdogomdogo ili waje kukulisha Kama mtoto. Binafsi haya maisha nilivyoyakuta niliyakataa kabisa. Haliwezakani niishi Kama mtt wa shuleni jamani. I love freedom a lot Ila sio hela. Unaamka kuwahi job whether you like or not. Is that your life.

Jiulize mbona mamba, cheetah ama American lion aka lion wao hukaa sehemu wakijificha, yaani wanakuwa na fuckin Patience wanajua muda wao wa kula yao, muda huu zebra, nyumbu wanakuja kunywa maji hapo mamba anapata kula yake. Anafanya kazi kwa instincts, hunches, gut feelings. Puma yeye anakaa juu ya mti deer akipita anaye huyo akimkimbia anasubiria Tena. Alaumiwe aliyeweka serikali Mana anapelekea wengine wananyonywa
 
Ndo hyo elf12 si afu Kila kitu Bei juuu
Wao wamejiongezea posho za juu hukoo,huku chini wanatunyonya
Mara 1000000000 Magufuli mnitukane tuu ila maza hakuna kituuuuu
Ugumu wa maisha ni kwa Watzn wote sio watumishi tuu..

Mliambiwa mpunguziwe Kodi au muongezewe kima cha chini hamtaki mkasema mnataka salary ya kupatia mafai Ili gross iongeseke,ndio hiyo Sasa.
 
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Mmoja hajaongezewa kabisa
 
Siku ya 1 uliyoingia kazini ndiyo siku uliyotakiwa (unayotakiwa) kupambana kufikiri kwa haraka na kuanza kuwekeza ktk mradi ambao utakuwa rahisi kwako kuusimamia na kuongeza kipato chako... Kutegemea nyongeza ya mshahara mkubwa wa kutosheleza mahitaj yako ni kusaka bikra wodi ya wajawazito... Mama la mama kwanza hongera sana kwa miaka zaidi ya 5 serikal ilishindwa kuongeza hata jero mtumish amnunulie mtoto kalamu ya shule... Kwa miaka zaidi ya 10 hakuna siku serikal ktk mwezi July iliweza kutoa mshahara kwa tarehe ileile iliyozoeleka, tena wewe mama umetoa siku 1 kabla... 😂😅 Oya watumish show show kazi iendelee... Nipo nimekaa pale namwagilia moyo
Pale kwenye Heading (kufikia isomeke KUKUFIKISHA)
 
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Si haba, hongera zilete tuzinywe na marafiki wikiendi ndiyo hii.
 
Nimechoka kupita maelezo.
Watumishi tukutane mapema.


Malalamiko tu hamtaki kulima, kulipa kodi, hamtaki kufanya biashara, hamtaki tukope na mna lalamikia miradi ya kimkakati sasa mna taka pesa itoke wapi? Je wewe binafsi unazalisha nini au ni mtumiaji!
 
Back
Top Bottom