goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Kak shukuru mungu Sana mshahar wangu wa mwisho ulikuwa bas 945000 nilikuwa nabeba 725000 sasa were huo wote bado unatafuta nyongezaNimechoka kupita maelezo.
Watumishi tukutane mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kak shukuru mungu Sana mshahar wangu wa mwisho ulikuwa bas 945000 nilikuwa nabeba 725000 sasa were huo wote bado unatafuta nyongezaNimechoka kupita maelezo.
Watumishi tukutane mapema.
Coment yako niya mtu mshamba. Mtu kusema jambo fulani haridhiki nalo ndio lazima aachane nalo?..kwani wewe ni mambo yote unaridhika nayo hapa duniani na umeyaacha?.kama maslahi madogo mbona huachi kazi ukajiajiri?
wacha kulia lia,Kama maslahi madogo waachie wengine.
Tupe hesabu ya kima cha chini basi.Kwani wewe ni kima cha chini?
Kolichoongezwa hakitoshi hata kufidia ongezeko la nauli ya daladala kwa mwezi mzima kwa mfanyakazi bado hicho kidogo kilichoongezwa kinachukuliwa kupitia kodi ya ATM, hivyo ongezeko halisi kwa, nfanyakqzi baada ya kodi ya ATM tu ni kama sh. elfu nne. Hapo hujapiga hesabu ongezeko la nauli ya daladala ambalo halitoshi kufidiwa. Kiuhalisia anachopata mfanyajazi mwezi wa July 22 ni kidogo kuliko alichopata mwezi Januari 22.Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
😳
Kunya tu hapo Gengeni 😀😀Najisikia kwenda kunya,Ni Bora usingesema
Ngoja waliopo hapo waje watwambie ni wapi
Bora huyo Me nimeongezwa elf 9000, ujinga mtupu,nieli ya magufuri mala 100, Maana kwa Magufuri mfumuko wa bei ulizibitiwa, Sasahivi majanga matupu huu ni upuuzi,Samia katuzalau wafanyakaziKuna watu wameongezewa 12,000 yaan elfu kumi na mbili...... kweli mama ameupiga mwingi.
[emoji23][emoji23]Kuna kila dalili huko juu wamejaa matapeli
Wewe huwezi kuwa Mtumishi, nakataa huwezi kuwa.Bora huyo Me nimeongezwa elf 9000, ujinga mtupu,nieli ya magufuri mala 100, Maana kwa Magufuri mfumuko wa bei ulizibitiwa, Sasahivi majanga matupu huu ni upuuzi,Samia katuzalau wafanyakazi
Mkuu Mimi Ni mfanyabiasharw,na miliki steshenari yangu,nasasa nimetoka huko,Mimi sio mtu wa kulia lia na kutuhumu,nashukuru kwa nyongeza aliyotuwekea mamaDaah hadi huruma.
Fanya biashara mkuu, achana na mambo ya kulilia vielfu ishirini.
Wewe huwezi kuwa Mtumishi, nakataa huwezi kuwa.
Elfu 9000, ni sawa na 9,000,000 ni kweli umeongezewa hiyo pesa.?